omukajunguti
Member
- Apr 1, 2012
- 40
- 10
Mbona Ikulu mnatudanganya huyu Dr Kyaruzi hakuwahi kuwa katibu mkuu wa TAA na TANU yaye alikuwa President wa TAA wa kwanza kabla ya mwalimu , Nyerere alikuwa bado anafundisha huko Tabora wakati harakati hizi zikiwa Dar es salaam.
Naona kuna umuhimu wa kuandika historia yetu upya. Naona viongozi wetu waliogopa kuandika historia kwa sababu dhamira zao ziliwasuta kwa kutelekeza waasisi muhimu wa Taifa hili. Wakafichwa, wakatukuzwa, kumbe watu muhimu walioweka misingi mwanzoni wakadharauliwa, na kwa sababu ya hekima yao hawa watu wakakaa kimya, mpaka wanapofariki ndio ukweli unaanza kujitokeza
Naona kuna umuhimu wa kuandika historia yetu upya. Naona viongozi wetu waliogopa kuandika historia kwa sababu dhamira zao ziliwasuta kwa kutelekeza waasisi muhimu wa Taifa hili. Wakafichwa, wakatukuzwa, kumbe watu muhimu walioweka misingi mwanzoni wakadharauliwa, na kwa sababu ya hekima yao hawa watu wakakaa kimya, mpaka wanapofariki ndio ukweli unaanza kujitokeza