Mpigamsuli kachaguliwa wapi na kozi gani?

mkuu,si unakumbuka cku zle alinikashfu me na chuo changu nlichochaguliwa,nikajua labda ye atachaguliwa havard au oxford,kumbe kachaguliwa chuo mfano wa sekondari ya kata.bora hata mie nliechaguliwa hata chuo kinachotambulika barani africa.
hapo ndo umenichefua!!
 
kwani nyinyi mlivyotoka huko na elimu yote mpaka sasa mnaingia chuo, mlikuwa hamjagundua watu waliokuwa wakijiita majina kama hayo wakijifanya wasongo wa shule ndo wa kwanza kusanda kwenye matokeo! hahaha labda kapangiwa data star college. wale wa UDOM salimieni sana mlacha mwambieni aache ujinga wake, mpeni habari kuwa ninajiunga jwtz na ni lazima nimtafute nimtoe show nikitoka munduli. ELIA JOHN,CHAYA,YUSILIDA,KILONZO NK HAYA NI BAADHI YA MAJINA YA WALIMU WATATA KWA COURSE MBALIMBALI. be prepared, mimi nilishatoka huko tangia 2011. masomo meme wakuu

nokla like this, yule madam yusilida na kale kakozi chake cha strategic management anavyokaza. Ha ha ha
 
nokla like this, yule madam yusilida na kale kakozi chake cha strategic management anavyokaza. Ha ha ha

mimi nilikuwa naye last yr wakati ndo namaliza, bwana wee akanikaba kweli kweli ila sikuamini kama nilipata (a) aisee, tena kipindi hicho ndo kamomba kalikuwa kanamnyemelea! Udom acheni tu jamani, all in all nilienjoy hapo, angalau kuwa kulikuwa na makasoro yake, hakuna mahala pasipo na kasoro.
 
mimi nilikuwa naye last yr wakati ndo namaliza, bwana wee akanikaba kweli kweli ila sikuamini kama nilipata (a) aisee, tena kipindi hicho ndo kamomba kalikuwa kanamnyemelea! Udom acheni tu jamani, all in all nilienjoy hapo, angalau kuwa kulikuwa na makasoro yake, hakuna mahala pasipo na kasoro.

true ndg! Then wale watu na wanafanyakazi kwa ushirikiano yeye na mume wake ABEL, yule jamaa nae anamatatizo
 
mkuu,si unakumbuka cku zle alinikashfu me na chuo changu nlichochaguliwa,nikajua labda ye atachaguliwa havard au oxford,kumbe kachaguliwa chuo mfano wa sekondari ya kata.bora hata mie nliechaguliwa hata chuo kinachotambulika barani africa.

ha ha ha, me lyk this
 
true ndg! Then wale watu na wanafanyakazi kwa ushirikiano yeye na mume wake abel, yule jamaa nae anamatatizo

aaaaah! Abel tenanae nlikuwa nae lst yr pia, nae nkapata kama ya mkewe, aiseee, wakati naanza yr 1,ndo alikuwa seminer leader, hapo ndo manjuka basi akatukosoaga presentation yetu mpaka nikaona kuwa kama nime disco vile jamani! Daaaaah, abel
 
aaaaah! Abel tenanae nlikuwa nae lst yr pia, nae nkapata kama ya mkewe, aiseee, wakati naanza yr 1,ndo alikuwa seminer leader, hapo ndo manjuka basi akatukosoaga presentation yetu mpaka nikaona kuwa kama nime disco vile jamani! Daaaaah, abel

sasa wakuu,mnaonaje hzi story zenu kuwahusu hao wakna Abel na mke wake mngezianzishia thread yake?
 
sasa wakuu,mnaonaje hzi story zenu kuwahusu hao wakna Abel na mke wake mngezianzishia thread yake?

JAMIIFORUMS "WHERE WE DARE TO TALK OPENLY" ukikaa ukalifikiria hili pia litakusaidia kwenye masomo yako huko chuo.
 
Ha ha ha..hii thread nani kaifufua tena.?kuna mtu ataumbuka humu sasa hvi.
 
Hivi Huyu dogo anaependa mashindano kwenye mambo ya kijinga kijinga kachaguliwa wapi na kozi gani,maana simuoni tena humu?
me nilijua yupo Olevel huyu....hivi kuna chuo kinachoweza ku admit mtu kama mpiga msuli
 
Back
Top Bottom