Hands down you nailed .liberal are so weird they can't accept any criticismDemocrats ni watu wa ajabu sana. Yaani wako so hung up on race kiasi kwamba nadhani wao ndiyo racists wakubwa na wanachofanya ni ku project hizo biases zao kwa kuwatupia shutuma Republicans.
Sasa hebu ona huyu jinga wa yahoo. How can you even joke about something like that? Na mimi nimeshasema mara mia kidogo hapa kuwa huyo Obama akishindwa huu uchaguzi watu mtalia kuwa kashindwa kwa sababu ya ubaguzi.
Msnbc omitted all minority speech in republican convention ,who said they will put you back on chain .well I'm voting for Romney