Kwa hakika Mpesya umepata fundisho kubwa sana, kitendo cha kuwafanya wapiga kura wa jimbo la mbeya wajinga umefika kikomo, ulisema Sugu ni muhuni mtoto wa mama lakini tambua kuwa wana Mbeya wanakuona wewe ndo muhuni kwa kutotimiza ahadi zako na kujali maslahi yako binafsi. Kama sugu alikuwa mwanafunzi wako basi tambua utakuwa na mengi ya kujifunza toka kwake. Hili liwe fundisho kwa wote wenye tabia za kuwabeza wapiga kura wao! HONGERA WANA MBEYA KWA KUFANYA MABADILIKO, CHADEMA HOYEEEE!