Mtanganyika1
Member
- Sep 13, 2011
- 56
- 5
Habari zenu wana JF
Siku zote jambo hili limekuwa likinipa maswali mengi, pale niwaonapo dada zangu unakuta amechanjwa chale nyingi mwilini hasahasa wengi nakutana nao kwenye daladala, nimekuwa nikihisi kwamba hivi ni kinadada tu ndo wanapenda kuchanja chale? au tu kwa sababu wao wanaacha sehemu za mwili wazi mara nyingi zaidi ya wanaume kumbe nao ni mabingwa wakuchanja chale?
Sina shaka kwamba wengine wanachanja chale kwa mema kwa kujitibu, kinga nk. lakini mimi binasifisi mtu ambaye nikimuona anachale mwilini ambazo zitanipa maswali huona kama ni watu wanao jishirikisha na Ushirikina tu na mara nyingi kama ni binti nilikuwa na fuatilia awe mpenzi wangu nafsi hunisuta kwamba hapo sisalama hata kidogo. Je wewe hupata hisia gani?MIE NAOGOPA.
Siku zote jambo hili limekuwa likinipa maswali mengi, pale niwaonapo dada zangu unakuta amechanjwa chale nyingi mwilini hasahasa wengi nakutana nao kwenye daladala, nimekuwa nikihisi kwamba hivi ni kinadada tu ndo wanapenda kuchanja chale? au tu kwa sababu wao wanaacha sehemu za mwili wazi mara nyingi zaidi ya wanaume kumbe nao ni mabingwa wakuchanja chale?
Sina shaka kwamba wengine wanachanja chale kwa mema kwa kujitibu, kinga nk. lakini mimi binasifisi mtu ambaye nikimuona anachale mwilini ambazo zitanipa maswali huona kama ni watu wanao jishirikisha na Ushirikina tu na mara nyingi kama ni binti nilikuwa na fuatilia awe mpenzi wangu nafsi hunisuta kwamba hapo sisalama hata kidogo. Je wewe hupata hisia gani?MIE NAOGOPA.