Mpenzi wangu wa zamani anaomba nimchangie kwenye harusi yake

Status
Not open for further replies.

Regia Mtema

R I P
Nov 21, 2009
2,970
863
Wakuu.
Niliwahi kutoa sredi hapa kwamba nilikuwa na mpenzi wangu ambaye alikuwa wa kwanza nilikutana naye nikiwa chuo tukaachana siku ya wapendanao..Jamaa yangu huyu anatarajia kufunga pingu za maisha mwezi wa tano mwaka huu.Siku chache zilizopita alinipigia simu na kuniambia kwamba anatarajia kufunga pingu za maisha na kuniomba nimchangie ili kufanikisha harusi yake.ikumbukwe kwamba hatkumalizana vizuri na huyu jamaa ingawa amekuwa akilazmisha mara nyingi kwamba tuwe best friends,hili alilisema hata wakati tunaachana lakini kwangu mimi niliona ni upuuzi,sikujisikia kuwa karibu naye hasa kirafiki ingawa tumekuwa tukiwasiliana kwa njia ya simu mara moja moja kila mtu akimkukmbuka mwenzake.Nilimueleza bila kuficha kwamba sitamchangia hata senti moja kwani sijisikii kufanya hivyo.Ikumbukwe kuwa tuliachana tukiwa hatujagombana hata kidogo wala kuwa na makosa ya kupelekea kuachana.
Naombeni ushauri nafanya vibaya kutomchangia?
 
Wakuu.
Niliwahi kutoa sredi hapa kwamba nilikuwa na mpenzi wangu ambaye alikuwa wa kwanza nilikutana naye nikiwa chuo tukaachana siku ya wapendanao..Jamaa yangu huyu anatarajia kufunga pingu za maisha mwezi wa tano mwaka huu.Siku chache zilizopita alinipigia simu na kuniambia kwamba anatarajia kufunga pingu za maisha na kuniomba nimchangie ili kufanikisha harusi yake.ikumbukwe kwamba hatkumalizana vizuri na huyu jamaa ingawa amekuwa akilazmisha mara nyingi kwamba tuwe best friends,hili alilisema hata wakati tunaachana lakini kwangu mimi niliona ni upuuzi,sikujisikia kuwa karibu naye hasa kirafiki ingawa tumekuwa tukiwasiliana kwa njia ya simu mara moja moja kila mtu akimkukmbuka mwenzake.Nilimueleza bila kuficha kwamba sitamchangia hata senti moja kwani sijisikii kufanya hivyo.Ikumbukwe kuwa tuliachana tukiwa hatujagombana hata kidogo wala kuwa na makosa ya kupelekea kuachana.
Naombeni ushauri nafanya vibaya kutomchangia?

Hapo kwenye red maelezo yako yanajichanganya! Kwa Kinyamwezi tunaita ''double standards''!
 
Pia anaweza kumchangia na aisende tu,sidhani hata kama kuna haja ya kuomba ushauri katika hili.......

mie staki kuwa mnafiki kw akweli, hata sikumoja sitajilazimisha kuchangia harusi ya mtu kama nina kikwazo cha aina yoyote ile
so if you feel like doing that, do vinginevyo usifanye
ya nini kumchangia mtu huku unaumia moyoni......
 
Wewe changia tu bana...huwezi jua....anaweza akakupa tena ummege siku akiboreka na huyo mumewe mpya
 
Navyo elewa mahawara wengi huwa hawaachani wewe mchangie tu bana unaweza fikiriwa dili la kuzibua masikio mtoto.
 
Usiharibu mazingira bali jenga mazingira,unaweza kupata hitaji la kupunga upepo siku moja hapo bustanini,who knowz. Fanya fair play kwa kuchangia kisha kuhudhuria harusini ni uamuzi wako kwenda au upotezee.
 
Ni situation ngumu kidogo
Ushauri wangu fanya kile moyo wako unavyokutuma

ila nina swali
Umesema hamkumalizana vizuri na huyo jamaa yako wa zamani, swali linakuja ulitaka mmalizanaje vizuri? Please tuweke wazi kumalizana vizuri kivipi?
 
Hapo kwenye red maelezo yako yanajichanganya! Kwa Kinyamwezi tunaita ''double standards''!

Nadhani hapa hujanielewa.Ni hivi tuliachana nikiwa bado na namhitaji na hatukugombana popote ila yeye akadai anataka tusiendelee kuwa wapenzi lakini tuwe marafiki wa karibu.Personally sikulikubal hili kwani nilikuwa bado namhitaji na hatukugombana popote..Hivyo kwangu mimi hatukumalizana vizuri kwani sikukubali proposals zake zote mbili za kuachana na za kuwa bset friends.
 
what wrong with kuchangia/ no big deal au bado una feelings?
Kwanza kamalizaneni, then mchangie kwa roho nyeupe!
hapo kwenye red panahusika sana.
you are in conflict with your feeling....wanaitaga denial sijui?
 
mpendwa, sijui kama wewe ni muumini wa dhehebu gani, lakini mie nina ushauri hapa......................

1.
yeye kaomba umchangie-kama una uwezo wa kuchanga, mchangie kwa msingi wa ombi lake na kulingana na uwezo wako, usije ukalaza watu wa nyumbani mwako na njaa kwa sababu ya kuchangia harusi hii, kumbuka kila aombaye hupokea, je tukiwasaidia wale tu walio wapenzi wetu, tutapata ama kustahili thawabu gani ya ziada? mafarisayo na wenye dhambi na watu wa mataifa nao hawafanyi hivyohivyo? hakika haki yetu lazima ipite haki ya mafarisayo, watoza ushuru na wenye dhambi, vinginevyo hatuwezi kuurithi ufalme wa Mungu.

2.
ushinde ubaya kwa wema-kwa kuwa unakiri kuwa hukumkosea, lakini bado Mungu anampa fursa na ujasiri wa kukutafuta na kuomba umuunge mkono au umsaidie, kumbuka unapaswa kuushinda ubaya kwa wema. kwa wema wako atatambua kosa lake la kumkataa mke mwema na pamoja na kuwa huna tena nafasi kwake, lakini atayasimulia matendo yako makuu siku zote za maisha yake na kufanyika baraka mlangoni mwako maisha yake yote na hivyo Mungu kutukuzwa kupitia maisha yako.

3.
kushiriki ama kutoshiriki harusi nashauri usikilize dhamiri yako inataka nini. mimi ningeshauri ushiriki kama na nafasi na usiwe kwazo katika shughuli yao ile kwa namna yoyote bali ufanyike baraka. si mbele yake bali mbele za Baba yetu aliye mbinguni. atakapoziona baraka kupitia kwako, atamshukuru Mungu na kumuinua siku zote za maisha yake na ataamini kuwa kweli wewe ni mtoto wa Mungu kwani unakata mashauri kwa jinsi ya Mungu na si kwa jinsi za wanadamu. kumbuka tena mpendwa kuwa haki yako mbele za Mungu lazima ipite haki ya afarisayo na wenye dhambi ili kustahili thawabu

thamani ya ushauri huu itategemea imani yako na kiwango cha uchaji wa Mungu ulichonacho.............ni hayo tu mpendwa........................... unarikiwe na Bwana
 
Mi nionavyo huna haja ya kumchangia, hiyo harusi itafanyika tu, kwani ana maana gani kukuomba mchango? si mliachana? achukue time.
 
mpendwa, sijui kama wewe ni muumini wa dhehebu gani, lakini mie nina ushauri hapa......................

1.
yeye kaomba umchangie-kama una uwezo wa kuchanga, mchangie kwa msingi wa ombi lake na kulingana na uwezo wako, usije ukalaza watu wa nyumbani mwako na njaa kwa sababu ya kuchangia harusi hii, kumbuka kila aombaye hupokea, je tukiwasaidia wale tu walio wapenzi wetu, tutapata ama kustahili thawabu gani ya ziada? mafarisayo na wenye dhambi na watu wa mataifa nao hawafanyi hivyohivyo? hakika haki yetu lazima ipite haki ya mafarisayo, watoza ushuru na wenye dhambi, vinginevyo hatuwezi kuurithi ufalme wa Mungu.

2.
ushinde ubaya kwa wema-kwa kuwa unakiri kuwa hukumkosea, lakini bado Mungu anampa fursa na ujasiri wa kukutafuta na kuomba umuunge mkono au umsaidie, kumbuka unapaswa kuushinda ubaya kwa wema. kwa wema wako atatambua kosa lake la kumkataa mke mwema na pamoja na kuwa huna tena nafasi kwake, lakini atayasimulia matendo yako makuu siku zote za maisha yake na kufanyika baraka mlangoni mwako maisha yake yote na hivyo Mungu kutukuzwa kupitia maisha yako.

3.
kushiriki ama kutoshiriki harusi nashauri usikilize dhamiri yako inataka nini. mimi ningeshauri ushiriki kama na nafasi na usiwe kwazo katika shughuli yao ile kwa namna yoyote bali ufanyike baraka. si mbele yake bali mbele za Baba yetu aliye mbinguni. atakapoziona baraka kupitia kwako, atamshukuru Mungu na kumuinua siku zote za maisha yake na ataamini kuwa kweli wewe ni mtoto wa Mungu kwani unakata mashauri kwa jinsi ya Mungu na si kwa jinsi za wanadamu. kumbuka tena mpendwa kuwa haki yako mbele za Mungu lazima ipite haki ya afarisayo na wenye dhambi ili kustahili thawabu

thamani ya ushauri huu itategemea imani yako na kiwango cha uchaji wa Mungu ulichonacho.............ni hayo tu mpendwa........................... unarikiwe na Bwana

Mkuu nimekukubali! hiyo namba mbili mwakemwake.
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom