Mpenzi wangu Ndyoko ndiyo ametumia hizi 'condom' sio mimi!

Wanawake wajanja na wana hisia kali. we ukiano anataka kukuumbua we jifanye mkali tu.
"yaani wewe unaleta condom zilizo tumia ndani kwangu? leo utanieleza hizo condom ulizitumia na nani. siku zote nakaa humu ndani mbona sijawahi kuziona?". mwendo wa kumgeuzia kibao hadi mwisho.
NOTE:
Usije ukajifanya kuomba msamaha. hawa viumbe hawasamehi wala kusahau mambo yanayo husu mapenzi. wapo radhi wakutoe roho. Mia

nina wasiwasi na hili jibu lako nadhani unawachezea wajinga lakini kwa mwerevu hujamdharau kiasi hicho,wewe ulishatolewa roho na wangapi?nyie ndo mnapotosha thamani ya penzi na kuigeuza mpira wa kona change your mind.
 
loh hadithi ya namna hiyo unafikiri wanawake wanaikubali basi? Ila tu wanaamua kupotezea.......aka kufa na tai shingoni

Kweli kabisa BADILI TABIA! Wakati wa uchumba Nimefumaniwa mara nyingi mno kwa ushahidi wa mazingira, lakini nilikuwa nachomoka kama ndyoko.

Ndimi Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wajanja na wana hisia kali. we ukiano anataka kukuumbua we jifanye mkali tu.
"yaani wewe unaleta condom zilizo tumia ndani kwangu? leo utanieleza hizo condom ulizitumia na nani. siku zote nakaa humu ndani mbona sijawahi kuziona?". mwendo wa kumgeuzia kibao hadi mwisho.
NOTE:
Usije ukajifanya kuomba msamaha. hawa viumbe hawasamehi wala kusahau mambo yanayo husu mapenzi. wapo radhi wakutoe roho. Mia
Du kaka we mkali! unageuza hata kama kweli umefanya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom