Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
Jamani nahisi naibiwa,mpenzi wangu amekua ana safari za kutia mashaka na bosi wake.
Yaani hata zile ambazo hazimhusu wanaenda pamoja,na wanaenda nje ya nchi.Nahisi naibiwa kwani zimezidi kua nyingi na za kujiuliza.Nifanyeje nisaidieni wadau
Yaani hata zile ambazo hazimhusu wanaenda pamoja,na wanaenda nje ya nchi.Nahisi naibiwa kwani zimezidi kua nyingi na za kujiuliza.Nifanyeje nisaidieni wadau