jaman mpenzi wangu alikuwa amezoea kutumia aina fulani ya lotion and she was look nice. sasa wik 3 nyuma, alikosa aina hiyo ya lotion dukan na kuamua kununua aina nyingine...unfortunately alianza kuwashwa, kumea vipele vidogo vidogo na hivi sasa vimeenea uso mzima, hana raha, anashindwa hata kwenda kazini, je apake dawa gani viishe!