vanilla
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 448
- 356
Tehe tehe nilikuwa nimenuna umenichekesha vp nimekugusa nini? Mi sio zombie ila sina mahela ya kutosha ndio maana nina hofu vanila plz help me usinibeze
aku hujanigusa popote maana hata mie unantisha!!
Hyo birthday inatosha tu kukuonyesha huyo mtu wako ni wa aina gani.hao wenye hela zao walijuaje kama ni bday yake kama hakuwaalika? Shtuka acha kuwashikia pembe wenzio.