WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
Kituku Tukiwa holiday pia hakuna tofauti sana said:Inatosha bana,kwani imekuwa chakula shosti?anyways,hebu endelea kumweleza kuwa dozi anayotoa haitoshi.
Kituku Tukiwa holiday pia hakuna tofauti sana said:Inatosha bana,kwani imekuwa chakula shosti?anyways,hebu endelea kumweleza kuwa dozi anayotoa haitoshi.
Sitaki kumfurahisha mtu, ila nimeliweka hapa nipate ushauri, kama ni kawaida au la, na kama ni tatizo maana yawezekana mi nataka zaidi kumbe hiyo ni kawaida kwa baadhi ya watu...
We katavi mwisho kushangaa mara moja ukirudia unakula :ban:
Kwema kabisaa swithat..tatizo bubu hua simuaminiamini sana yule......weekend hii ndo ukajificha sijui wapi wewe...:flypig::cheer2:Sijambo swir,babu alishanikabidhi kwako kwa hiyo nimetua wewe tu sasa ushindwe.Kwema lkn?
kwakweli kadozi ka 1 kwa siku sio kawaida! angalau hata tuwili basi! nina uhakika hako kamoja hukashusha ndani ya dkk 5 tu kwishnei!
Pole sana, lakini ili nipate kukushauri naomba unijibu mwaswali yafuatayo;Ndugu zangu,
Nimekuwa na mpenzi wangu muda mrefu sasa, tunaishi kama mume na mke, na kulingana na maisha tunayoishi, nina uhakika hana msichana nje, kinachonikwanza ni kila tukitenda tendo la ndoa baada tu ya kumaliza goli la kwanza basi harudii tena na wakati mwingine analala kabisa, na hata nikimshawishi kupata kitu cha pili , basi jogoo hasimami kabisa, na kwa wiki tunaweza tukakutana mara 3 -4 kwa kimoja kimoja tu, na sometimes huwa anasafiri wiki-wiki mbili, ila hata akirudi, utaratibu ni ule ule, atafanya mara moja tu, mpaka kesho yake au keshokutwa anasema inatosha kwa leo... hii ni utaratibu since nimeanza nae urafiki, mwaka sasa, je nichukulie hali ya kawaida au kuna tatizo... style nazitumia sana, ufundi mwingi nafanya, kwa kweli maandalizi ya mbinu tofauti daily nafanya.. ila lastly anafanya mara moja tu... je wandugu, hii ni kawaida au kuna tatizo hapa (simhisi kufanya nje kabisa kama ana msichana katu)
mimi nina miaka 28 nae ana miaka 32, kulingana na tabia na ueledi wake, simhisi hata kidogo kuwa na mtu nje..any way siwezi kuapa ila naamini hata mtu,
Yeah kwa week 3-4 hakosi, ila ni once per day/one time, tukipiga moja usiku ni moja tu... lingine ni kesho au keshokutwa... ila kwa hilo la kwanza, huwa ananifikisha, ingawa nilitegemea angalau goal mbili for the time tunapokutana.. na especially ninavyosikia wenzangu wanasema waume zao ni goal 2-3 kwa wakati mmoja ingawa kuna interval ya time.. ndo namimi nawish ningekuwa hivyo.
...WAKATI MWINGINE KUWA NA MKE MDOGO MDOGO NI SHIDA SANA!
wakina mama wadogo wadogo wanachokifikiria wao ni kwamba waume zao wanawaza unyumba tu......!
pole sana mama!
nakuacha na tafakari hii:
TOA KIBANZI............
kwakweli kadozi ka 1 kwa siku sio kawaida! angalau hata tuwili basi! nina uhakika hako kamoja hukashusha ndani ya dkk 5 tu kwishnei!
Cha msingi hebu kaa nae mzungumze sio mpaka wamarekani waambie mzungumze. Hii ifanye iwe kwa hisani yako