Mpenzi wangu ananiomba Nimnyoe nywele za.......

Hahahahaha oyeee kulamba kubaya utamlamba mkweo aliyekuzalia ......
 
Sasa wewe, ikiwa kunyoa tu hizo nywele inakua ishu! Je kwenda chumvini utaweza? kama walivyosema wadau hapo juu, akimpata wa kumaliza hiyo shuhuli usilalame tena hapa JF ''hooo....mpenzi wangu siku hizi anijali tena na wala hataki kukaa na mimi muda mrefu kama mwanzoni''

Ingawa hujasema ni nywele za wapi, lakini kwa haraka haraka inaonyesha ni za kule sehemu za siri, hilo ni jambo la kawaida kabisa kufanya kwa Mpenzi wako na wala sio kitu cha ajabu, tena hukupwa kabisa kuja kulalama hapa ni vile tu hujui. Hapo ndio utasikia wenzio Wakiji NANGA kuwa wanawafahamu wapenzi wao ''Inn and Out'' unafikiri ni vipi? ndio pamoja na mambo kama hayo unapata nafasi ya KUPERUZI na KUDADISI sehemu nyeti za mpenzi wako.

Vitu kama hivyo ndio huongeza umuhimu wa mwenza wako pale anapokua bali nawe coz huduma kama hiyo huwezi pata toka kwa yeyote yule zaidi ya mpenzi wako, coz hata kuhudumiwa tu yataka trust ya hali ya juu na sio kuhudumia tu peke yake.

ZINDUKA WEWE, HAMKA NENDA KAMNYOE FASTA MWENZIO NA USILALAME WALA KUULIZA TENA HAPA.



nimeipenda hii upo juu saana
 
Ushauri wko mzuri lakini umejaa kashfa,matusi sasa cjui nachukua ushauri au matusi?
Chukua ushauri matusi niachie mwenyewe. ila sorry umeniuzi sana ila all in all badilika mapenzi yanataka mambo meng na ukitaka kuya mudu basi usiwe na kinyaa maana mapenz ni uchafu
 
Jamani hapa mwenzenu pananipa wakati mgumu naomba msaada wenu mwenye uzoefu huu anisaidie.yani kila nywele zikikua ananiomba nimnyoe napiga chenga visingzio kibao mpaka anarekebisha mwenyewe ss icje nikakimbiwa kwa kutotimiza hayo.
Ushauri tafadhari.
kwani mnafahamiana kwa kiasi gani? kama ni bwana asifiwe mwache mpaka siku ya Ndoa la sivyo utakuwa mtego kwako
 
hapo umenena mkuu, mwenyewe unapojinyoa unajikatakata, sasa huyo anyolewe anatafuta majeraha...???
 
Oyaaa hebu mwache shemeji nywele zikue halafu mlete kwangu, nimnyoe mnyoo wa punky au new style....tena unanyoa unajifanya umemkata akilia unabembeleza kwa ulimi laini, will end up with what?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom