mpenzi wangu ananidanganya

umeharakisha kwa kumwambia "ignore" hizo sms, kimsingi inabidi azitilie maanani na afanye analysis kwanza ndo acome na uamuzi sahihi.
Inabidi baadhi ya post zangu niwe nazipa kichwa SARCASM!!
 
Anakuona mjinga huyo na ni dharau yeye kukufanyia hayo na upo hapo live na anakudanganya. Labda unampa pesa sana ndio maana bado yupo nawe labda hakuja kwako kimapenzi bali kwa unayompa.

Sasa inategemea nyumba mnapanga nani kaandikisha jina etc au wewe jifanye hamfuatilii

Ila magonjwa nayo duh bora umuulize umwammbie unamuacha sababu ana cheat na subiri majibu yake utajua


Asije akakuua na labda ana zaidi ya huyo wa mbali je anaonana nao akiwa mitaani?
 
nina mpenzi wangu nampenda sana na naamini naye anipenda sana ila siku za hivi karibuni ameanza kuwa na tabia ya kuchat sana na mwanaume mmoja nikimuuliza anadai ni rafiki lakini mimi nakuta meseji wakiita honey,mumy,mpenzi na zaidi huwa mkali sana napotaja jina la huyo jamaa na hataki kabisa kuongelea juu huyo,mbaya zaidi kwa siku anaweza kuanzia asubuhi akiamka anamcheck huyo jamaa na kuanza kuchat pasipo mimi kunijulia hali,na mara kwa mara nishakuta sms za promise,JE KWELI HUYU NI MUAMINFU KWANGU AMA ANIDANGANYA

ni mwaminifu kabisa!
 
Pole sn,vunja ukimwa ongea nae,toa dukuduku lako bila kuogopa matokeo,km vp kila mtu achukue time,mapnz ya kupeana strec yameshapitwa na wakati,km kakuchoka c aseme tu kuliko dharau anayokufanyia!
 
Kwanza karibu jamvini,

japo umeingilia mlango usio wenyewe ungeanzia kule kwenye utambulisho wa memberz...!
ila sio nongwa.....
kwa maelezo yako mwenyewe majibu tayari unayo, kwamba hicho anachofanya mwenzio hakikupi raha...
Act kama mwanaume, mpe space achana na simu yake......
ila kwa hali ilipofikia hapo naona kama tayari ushachelewa kidogo, so cha kufanya kuwa tayari kumpoteza sababu hatua zozote za kujifanya unataka kuonyesha unamjali sana na kumuhangaikia ndio zitamkera zaidi na utamboa kabisa na hivyo ndio kumpoteza kabisa.
Calm down, take it slow, punguza hisia, mpe space, akikuhitaji kuwa pale kwa mda wako na umsikilize wala usilaumu

Unamwambia karibu jamvini una uhakika gani kama ni mgeni halafu sio sheria kwenda kwenye jamvi la kuomba ukaribisho ni hiari.
 
Anakudanganya huyo cha msingi hapo kung'uta mzigo huo kwa mara ya mwisho kisha anza mbele kwani manzi anaonesha hana tena mapenzi nawe.kung'uta mzigo huo kwa hasira ili iwe fundisho kwake
na wengine wenye tabia kama yake!


KUMBUKA
hakikisha yeye anasikia maumivu wewe unasikia raha!.ni hayo tu

Huu ni uuaji.
 
Badilika na wewe chagua mmoja wa kuchat nae hata kama msela ila msave jina la mwanamke kisha check response yake kama ni Zero jua mapenzi yameshahama(yaani HUPENDWI) sasa waweza baki au kimbia.
 
could be a combination of factors, but what is clear ni kwamba you no longer bring out the butterflies in her coz ushapoteza mvuto kama mwanaume..; it is not the end of the world though, so bora uchape lapa mapema
 
Poleni sana..inaonekana idadi yenu ni kubwa sana. Mpenzi yamekuwa usani tuu. wizi mtupu!
Very tru..idadi ni kubwa mno,wengine wanakimbilia JF kupunguza machungu..#Kiwanja hiki ni 'stress free'..
 
Sasa hizo honey honey, mummy mummy na mpenzi zote ni chat chat tu?

Una moyo kweli kijana ila tahadhari na ukimwi maana hapo kuna kitu sharing.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom