Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,776
- 59,127
Inabidi baadhi ya post zangu niwe nazipa kichwa SARCASM!!umeharakisha kwa kumwambia "ignore" hizo sms, kimsingi inabidi azitilie maanani na afanye analysis kwanza ndo acome na uamuzi sahihi.
Inabidi baadhi ya post zangu niwe nazipa kichwa SARCASM!!umeharakisha kwa kumwambia "ignore" hizo sms, kimsingi inabidi azitilie maanani na afanye analysis kwanza ndo acome na uamuzi sahihi.
acha kumdanganya mwenzako...
nina mpenzi wangu nampenda sana na naamini naye anipenda sana ila siku za hivi karibuni ameanza kuwa na tabia ya kuchat sana na mwanaume mmoja nikimuuliza anadai ni rafiki lakini mimi nakuta meseji wakiita honey,mumy,mpenzi na zaidi huwa mkali sana napotaja jina la huyo jamaa na hataki kabisa kuongelea juu huyo,mbaya zaidi kwa siku anaweza kuanzia asubuhi akiamka anamcheck huyo jamaa na kuanza kuchat pasipo mimi kunijulia hali,na mara kwa mara nishakuta sms za promise,JE KWELI HUYU NI MUAMINFU KWANGU AMA ANIDANGANYA
Kwanza karibu jamvini,
japo umeingilia mlango usio wenyewe ungeanzia kule kwenye utambulisho wa memberz...!
ila sio nongwa.....
kwa maelezo yako mwenyewe majibu tayari unayo, kwamba hicho anachofanya mwenzio hakikupi raha...
Act kama mwanaume, mpe space achana na simu yake......
ila kwa hali ilipofikia hapo naona kama tayari ushachelewa kidogo, so cha kufanya kuwa tayari kumpoteza sababu hatua zozote za kujifanya unataka kuonyesha unamjali sana na kumuhangaikia ndio zitamkera zaidi na utamboa kabisa na hivyo ndio kumpoteza kabisa.
Calm down, take it slow, punguza hisia, mpe space, akikuhitaji kuwa pale kwa mda wako na umsikilize wala usilaumu
Unamwambia karibu jamvini una uhakika gani kama ni mgeni halafu sio sheria kwenda kwenye jamvi la kuomba ukaribisho ni hiari.
Anakudanganya huyo cha msingi hapo kung'uta mzigo huo kwa mara ya mwisho kisha anza mbele kwani manzi anaonesha hana tena mapenzi nawe.kung'uta mzigo huo kwa hasira ili iwe fundisho kwake
na wengine wenye tabia kama yake!
KUMBUKA
hakikisha yeye anasikia maumivu wewe unasikia raha!.ni hayo tu
Huyo mpenzi wako ni mkeo?
Kama si mkeo wewe ulimpataje wengine washindwe?
Unanchekesha!
Huyo mpenzi wako ni mkeo?
Kama si mkeo wewe ulimpataje wengine washindwe?
Unanchekesha!
Very tru..idadi ni kubwa mno,wengine wanakimbilia JF kupunguza machungu..#Kiwanja hiki ni 'stress free'..