Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!
mkuu kazi husifiwa na mwajiri huwezi kujisifia kwa ufupi kuna mapungufu unayo katika utendaji ... kwanza unatakiwa uongee kwa vitendo mtoe out kwa ajili ya mazungumzo na pia kupumzika , pia inaonyesha humwandai vya kutosha na hapa unalalamika kama vile ni haki yako ya msingi kumbuka unapewa tu kama ya promosheni
ahahahahahaaa,duh ya promotion? Hyo imenifurahisha,anyway kiukwel unatakiwa kufanya analysis,hasa kwenye game ili ujue kama anafurahia au la,mi nahic hujamkuna huyo,ukimkuna vizur atakuwa anawah yeye uwanjan,we unamkuta tayar anasubir timu pinzan game ianze,halafu chukua muda mrefu kwenye foreplay
Hujampatia huyo.
Mchape vizuri uone kama adai mwenyewe.
OTIS.
kalipe mahari hukoooo! unakopa ndo maana anakubania,isingekua hiyo free accomodation usingeona ndani! ila wazazi wa siku hizi nao! yaani mtoto anafanya field anakaa kwa bf?wazazi anawaambia bado yuko chuo?
Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!
Mi Naishia hapa maana, umeona hili kwa Darubini Kali.
wewe ni zuzu... uko na mwnamke ndani alafu anakubania!!!? for sure ukioa lazima wanaume wakugongeeee...
Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!
We utakuwa ***** kama c mjinga! utakuwa unambaka, muandae kwanza na c kumbaka kaka! ukishindwa nipe namba yake nkusaidie, na inawezekana ni demu wa kitaa! wewe unaangaika kupiga kamoja kwa wiki wakati wenzako wanamkamua uko chuoni kutwa mara 3! we laza damu wenzako wakusaidie.
jamiiforums hoyeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!
Safi sana wacha akubanie mana amekuonjesha asali sasa wataka kuchonga mzinga