Mpenzi wangu ananibania sana!

Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!

Na wewe mbanie!
 
mkuu kazi husifiwa na mwajiri huwezi kujisifia kwa ufupi kuna mapungufu unayo katika utendaji ... kwanza unatakiwa uongee kwa vitendo mtoe out kwa ajili ya mazungumzo na pia kupumzika , pia inaonyesha humwandai vya kutosha na hapa unalalamika kama vile ni haki yako ya msingi kumbuka unapewa tu kama ya promosheni

ahahahahahaaa,duh ya promotion? Hyo imenifurahisha,anyway kiukwel unatakiwa kufanya analysis,hasa kwenye game ili ujue kama anafurahia au la,mi nahic hujamkuna huyo,ukimkuna vizur atakuwa anawah yeye uwanjan,we unamkuta tayar anasubir timu pinzan game ianze,halafu chukua muda mrefu kwenye foreplay
 
ahahahahahaaa,duh ya promotion? Hyo imenifurahisha,anyway kiukwel unatakiwa kufanya analysis,hasa kwenye game ili ujue kama anafurahia au la,mi nahic hujamkuna huyo,ukimkuna vizur atakuwa anawah yeye uwanjan,we unamkuta tayar anasubir timu pinzan game ianze,halafu chukua muda mrefu kwenye foreplay

maana jamaa inaonekana hatambuliki wala hana status kwa upande wa mwanamke kitu ambacho inawezekana mwanamke kaamua kumpa kwa kubana kama ni sehemu ya shukrani ya ufadhili
 
kalipe mahari hukoooo! unakopa ndo maana anakubania,isingekua hiyo free accomodation usingeona ndani! ila wazazi wa siku hizi nao! yaani mtoto anafanya field anakaa kwa bf?wazazi anawaambia bado yuko chuo?

du! Bonge la ushauri. Crap Crap!
 
Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!

utakuwa unaharufu mbaya, humvutii kabisa! Kwi kwi kwi! Naishia mwituni
 
mkuu unakosea kuichakata...
ukipatia kuichakata, huwa wanasafiri umbali mrefu sana kufuata hiyo huduma...
mkuu kiukweli hapo umekita mizizi ya mchicha, any time wa2 wanakung'oa kirahisi...
 
yaani mambo ya chumbani unatuletea hapa jf, nyambafu kabisa we kijana ,kwanza inaonyesha ustaarabu kwako ni zero, usingetuletea huu ujinga hapa, unamtorosha mtoto wa watu halafu unaishi naye kimya kimya akikufia ndani utaeleza nini? unajua unachokifanya? umecalculate risks zilizopo mbele yako au umekurupuka tu kumchukua kwa kiu zako za uroda/ngono na ndio maana unakuja kulalamika hapa. fikiriri vizuri kabla ya kutenda.
 
Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada mkubwa,kama mwenyezi Mungu atasaidia mwakani ndoa mwezi wa sita!ss basi shida ipo hapa kuhusu unyumba anabana sio mchezo. Namaliza week sijaonja hata ukiomba anakwambia hajisikii ikitokea ukapewa basi ni kagoli kamoja tu basi hataki tena mpk week kifupi ajisikie yy kwanza!wakuu hali hii inanipa wakati mgumu sn mpk na feel nimpige chini hebu nisaidieni mawazo!

Jamani kwanini anakubania mwenziee? au ww ukipewa ndio unafanya kama unatwanga mpunga unamchuna akitoka hapo hoi anashindwa hata kuishiika,inawezekama kua anaemwengine anaemkuna kuliko ww ss kwako anakupa afanyeje2 analipa fadhila zakuka hapo kwako,na bwana ww kwani unaitaka kila siku kama pipi?
 
Hapa kuna tatizo,
1. Atakuwa anakupa tu kwakuwa una mfadhili, ila hana mapenzi na wewe. Shida zinamfanya akupe.
2. Utendaji wako ni mbovu kiasi kwamba anaona bora akae na ugwadu wake. Maana unatibua maruhani na unashindwa kuyapooza.
3. Hakuamini kama utamuoa. Anahisi lengo lako ni kumchezea.
4. Atakuwa hana akili nzuri.
Jaribu kuzungumza nae umsikilize.
VUNJA UKIMYA, SEMA NAYE!!!
 
We utakuwa ***** kama c mjinga! utakuwa unambaka, muandae kwanza na c kumbaka kaka! ukishindwa nipe namba yake nkusaidie, na inawezekana ni demu wa kitaa! wewe unaangaika kupiga kamoja kwa wiki wakati wenzako wanamkamua uko chuoni kutwa mara 3! we laza damu wenzako wakusaidie.

hehehe umu jf ukiamua kuchuua kila ushauri lazima segerea ikuhusu...heheehheheh wa2 wakachezee masaburi...hahahaha(dah jaman iyo a.k.a nime fol in lav nayo ase)
 
hata ukitaka kumkamata kuku unamtupia mahindi! Inavyooneka huna utaalamu wa kumuandaa na wala humfikishi kunakostahili.
 
Back
Top Bottom