Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
Tukubali tukatae wanaopenda usiri wa simu zao kwa asilimia kubwa ni cheaters. Hii ni duniani kote hata wataalamu wa mahusiano wanakwambia kama unahisi mwenzi wako ni cheater the best way of getting clue ni kupekua simu na e mail kama unaweza pata access. Tusisingizie utani ofisini wala nini. Utani ni utani na kucheat ni kucheat period. Kama wote ni cheaters wawili hamna shida ficha yako nifiche yangu maisha yanasonga kama open relationship vile!
Na je kwa wale wenye mawasiliano ya kazini ambayo ni SIRI?