Mpenzi wako kwanza....

Shagiguku

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
407
133
Je, unakumbuka siku ya kwanza ku-do na mpenzi wako...???

Je, ulijisikiaje baada ya tendo....??

Je, unakumbuka siku ya kwanza mlifanyia wapi...??

Je, unakumbuka mlikutana naye wapi kwa mara ya kwanza na kuanza mahusiano naye...?

Je, unaendelea kumpenda hadi sasa...?
 
Asie kumbuka huyo moto chini kweli. na hakuna ambae hakumbuk maana wanadamu 2nahifadh machafu kuliko mema
 
sijawahi ku do, mi bado bikra na nina miaka 75. Nitapata ambae yuko bikra kweli?
 
Ukijua itakusaidia nini!sidhani kama kuna umuhimu wakujulishana,au kukumbushana.
 
nakumbuka wakati ule unga wa mahindi ulikuwa sh 300 kilo, sukari ilikuwa 400 sh kilo, mafuta ya taa yalikuwa 250 lita, mkate ulikuwa sh 150, nauli daladala ilikuwa sh 100 tu, dola 1 ya marekani ilikuwa shilingi za tz 1000, ndio naweza kukumbuka ilikuwa wakati huo. lakini toka aingie mr. journey mpaka nimesahau maana vimepanda mno hata mapenzi ndani ya nyi=umba yanapungua.
 
Enzi hizo kwnye kombolela .....nilimchapa nao kwnye jumba bovu.
 
hahahaha! wa kwanza hasahauliki japo alikukera kupita kiyasi lazima ukumbuke ndio alokufunzaa maji usiite mma,shagi na ww unamambo yakichimvi hasa ulikumbuka nini au wako wakwanza kapita roho ikakupiga kidogo?
 
Back
Top Bottom