platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,361
- 11,141
- Thread starter
- #21
Hahahaha una mashushu,.....si useme huyo B ni wewe na x ni ummu kulthum
No.....
Hahahaha una mashushu,.....si useme huyo B ni wewe na x ni ummu kulthum
No.....
Uzuri wa kitu huwezi kuujua kama unacho kwapani na kimejaa tele...Ila kikikuponyoka tu, ndo unagundua kuwa umepoteza Diamond.
Na wakati mwingine inakuwa too late, huwezi kukipata tena.
Hadithi hii inatufundisha kukumbuka kuwa hata kama tumeshiba, tusitupe sahani za kulia!
Babu DC!!
Sababu hainihusu mimi moja kwa moja
Exactly! Ila babu wajukuu zako tunapenda mambo ya fasta unampata leo akionyesha kufa unatafuta pembeni........Kifupi unaona takataka unaweka kando na maisha yanaendelea.............Tuseme kabla ya kuingia kwenye mahusiano unahitaji kufanya "brain storming"? au sio
Ni poa tu kwa sababu umri unawaruhusu kufanya biashara ya kuonja onja karanga!
Ila ni vizuri kukumbuka kuwa ni mahusiano machache sana, yanayoisha bila masahahihisho...Bahati mbaya, kuna mengine yataka kufanya hayo masahihisho wakati mwalimu alishastaafu!
Babu DC!!
Na hapo ni kilio na kusaga meno................au ipo fursa, mwalimu akistaafu haina maana passion ya kufundisha imeisha!!
si uongo babu DC siku zote majani hua ni ya kijani upande a pili
Umesasahau mkuu kuwa kwa Bongo hii, mtu anapostaafu hata siku zake za kupumua zinahesabiwa??
Huyo X mwambie kuwa ajione kama amepoteza mkono wa kulia na sasa hana jinsi zaidi ya kujifunza na kuzoea mkono uliobaki!!
Babu DC!!
Ujumbe umefika
Ukajifunza nini kutokana na hilo?