Wisdom
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 472
- 111
Jamani wana JF ninaomba msaada wenu,
Kuna binti mmoja nilikuwa namdate tukiwa shule tena O level me nikiwa IV yeye II nilipomaliza tu shule mawasiliano yalikata, imepita miaka 16 toka tulioonana na kuwasiliana mara ya mwisho.
Juzi kwenye sherehe za Mei mosi nilienda morogoro nikakutana naye na tuaongea sana, yeye alizalishwa mtoto miaka nane iliyopita lakini hajaolewa. Mimi nimeona na ninafamilia yangu ila kuna chembe ndogo ambazo bado ninamfeel, anataka tuwe wapenzi, nimeongea nae sana na kuhusu mazingira yanayotuzunguka lakini kang'ang'ania anasema eti mimi ndo wake wa maisha na yuko tayari kuwa back up, Je ndugu zangu mnanishauri vp kuhusu hili suala?
Kuna binti mmoja nilikuwa namdate tukiwa shule tena O level me nikiwa IV yeye II nilipomaliza tu shule mawasiliano yalikata, imepita miaka 16 toka tulioonana na kuwasiliana mara ya mwisho.
Juzi kwenye sherehe za Mei mosi nilienda morogoro nikakutana naye na tuaongea sana, yeye alizalishwa mtoto miaka nane iliyopita lakini hajaolewa. Mimi nimeona na ninafamilia yangu ila kuna chembe ndogo ambazo bado ninamfeel, anataka tuwe wapenzi, nimeongea nae sana na kuhusu mazingira yanayotuzunguka lakini kang'ang'ania anasema eti mimi ndo wake wa maisha na yuko tayari kuwa back up, Je ndugu zangu mnanishauri vp kuhusu hili suala?