KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mapenzi nikitu cha ajabu sana,Fikiria mpenzi umpendae kwa dhati ukimkosa kwa dakika unijisikiaje??Katika maisha kuna vizingiti vingi hivyo unaweza kuvikwepa ila saa nyingine ukajikuta umejikwaa bila kutegemea!!namatokeo yake ukajikuta umepishana na mpenzi wako katika baadhi ya mambo hata kutengana na pengine ukajikuta umeoa/umeolewa lakini ukikumbuka kwajinsi ulivyokuwa ukiishi naye ujisikia huzuni moyoni nakujigundua kuwa haikuwadhamira yako hivyo kutafuta nafasi nyingine yakumwambia,"Mpenzi nilikuzoea japo haikuwa lengo langu ila nakupenda bado!!"Hivyo ukkiambiwa hivyo sikia huruma kaswa mwenzio tafakari kwani kawapita awangapi mpaka arudi nyuma kilomita 100??No one perfect!take note.