Mpenzi/Mke akisema "naondoka" mwanamme afanye nini?

na wanajua kutoa vitisho kweli
ukitaka kuona yuko serious muache aondoke tu
ataanza kujishaua mwenyewe
 
Yaani kama kakurupuka from no where au sababu ya kutaka kuondoka si kuubwa kivile ni mikwaruzano midogo tu ya hapa na pale ile ya kawaida ktk ndoa as long as conflict is innevitable huyu namsaidia na kubeba mizigo kabisa aondoke namsaidia hata kupanga vitu vyake
 
je kutumia kitisho ndo unaamini ni njia sahihi ya wewe kukuita na kukaa chini kuongea tatizo??? ina maana wewe huwezi kumwambia mwanaume ukae nae kwa ajili ya kuongea tatizo???
Hope hujasoma vizuri BPM nimesema hiyo ni njia ya mwisho kbs means nimeshatumia njia zingine na zikashindikana ina maana yaliyotokea na suluhu niliyojaribu kuitafuta imeshindikana hope kwa mie kutaka kuondoka kutamshitua na kujitambua,inawezekana kwa namna nyingine yeye hakuchukulia serious vile na sasa kwa mm kuchoka mpaka nataka kuondoka na kumbe yy bado ananihitaji kamwe naamini hatachukulia kama ni kitisho na hataruhusu niondoke badala yake atatafuta suluhu na kuyamaliza.
 
wengi huwa akiona haujishughulishi na
mikwara yake hiyo, ataanza kuanzisha
argument za kutaka umjibu ili apotezee ule mkwara wake
ili nawe uingie kwenye discussion, mara
anaanza kulia kisanii na machozi ya kisanii juu.
Mkuu ukishaona hivyo, we timua nna uhakika ukirudi utamkuta alivyo 'vimba'
ujue tayari huyo kwisha habari yake. Haiwezekani masikio yakizidi kichwa bwana!
 
Hope hujasoma vizuri BPM nimesema hiyo ni njia ya mwisho kbs means nimeshatumia njia zingine na zikashindikana ina maana yaliyotokea na suluhu niliyojaribu kuitafuta imeshindikana hope kwa mie kutaka kuondoka kutamshitua na kujitambua,inawezekana kwa namna nyingine yeye hakuchukulia serious vile na sasa kwa mm kuchoka mpaka nataka kuondoka na kumbe yy bado ananihitaji kamwe naamini hatachukulia kama ni kitisho na hataruhusu niondoke badala yake atatafuta suluhu na kuyamaliza.

ni sawa ila kumbuka ukishatumia njia mbali2 atika kutafuta suluhu na hasa mkishashirikisha watu au kuwekwa vikao tayari mtu anafunguka na kutambua kosa au makosa na pia kutatokea waungwana wa kujaribu kusaidia kimawazo .. na kama itaonekana kushindikana nadhan wakati suruhu ikiendelea tayari mtazamo wa kuvunja au kutengana katika mahusiano kutaonekana wazi au unaweza kuuweka wazi wakati wa mijadala.. sasa mkiwa nyumbani naamini hakuna sababu ya kujaribu au kutishia kuondoka ilihali kuna mwafaka fulani utakuwa umefikiwa na kama hakuna mwafaka utakuwa unamaanisha unapofungasha vyako
 
Sisemi kwa wanaume kwani ni mara chache mwanamume husema "Naondoka" hasa katika tamaduni zetu. Lakini wapo wale wanaoishi katika nyumba ya mke, wanaweza kusema hivyo. Au wale ambao kwa kuwa hawataki mwanamke au watoto wao wataabike, wanaweza kusema "Naondoka" na wakaondoka.
Lakini hapa hasa kauli hiyo hutolewa na wanawake, na mwanamke haamki na kusema naondoka bila sababu yoyote. Kwa kawaida, huwa wamechoshwa na visa vya mume; wachache husema hivyo ikiwa wamepata wanayemhisi bora kuliko waliyenao. Kwa upande wangu kama mwanamume, kwanza nimejifunza kuheshimu NO/HAPANA ya mwanamke. Mwanamke akiniambia HAPANA, ninaheshimu neno lake.

Mwanamke ananiambia naondoka, ikiwa nimemkosea nitamwomba samahani kwa kosa langu na kuhakikisha ninajirekebisha, lakini katu sitomzuwia kuchukua maamuzi yake. Na ikiwa sioni kama nimemkosea, nitakachokahikisha ni kuwa hasau chochote chake ndani ili asije akajidai kurudi eti "nilisahau upawa wangu". Anaondoka na kuchuka mpaka sindano yake; kubwa nitakalohakikisha ni kumsindikiza mpaka pale nilipokwenda kumchukua. Ikiwa ni kwa wazazi/jamaa zake, nitahakikisha ninawakabidhi mikononi.

Hahahahahaaaaaaaaaaaa! Kwenye red n bolded mkuu. Umemaliza kila kitu mkuu!
 
Ungekuwa na mimi ungeshika adabu, mi huwa nafungua mlango kabisa, na kama vipi natanguliza nje kilambo chako kwa teke la nguvu!
Utakuwa ulikua humpendi mwenzio na ulikuwa unamtafutia sababu tu,na mateke tena lol!
 
Hope hujasoma vizuri BPM nimesema hiyo ni njia ya mwisho kbs means nimeshatumia njia zingine na zikashindikana ina maana yaliyotokea na suluhu niliyojaribu kuitafuta imeshindikana hope kwa mie kutaka kuondoka kutamshitua na kujitambua,inawezekana kwa namna nyingine yeye hakuchukulia serious vile na sasa kwa mm kuchoka mpaka nataka kuondoka na kumbe yy bado ananihitaji kamwe naamini hatachukulia kama ni kitisho na hataruhusu niondoke badala yake atatafuta suluhu na kuyamaliza.

ni sawa ila kumbuka ukishatumia njia mbali2 atika kutafuta suluhu na hasa mkishashirikisha watu au kuwekwa vikao tayari mtu anafunguka na kutambua kosa au makosa na pia kutatokea waungwana wa kujaribu kusaidia kimawazo .. na kama itaonekana kushindikana nadhan wakati suruhu ikiendelea tayari mtazamo wa kuvunja au kutengana katika mahusiano kutaonekana wazi au unaweza kuuweka wazi wakati wa mijadala.. sasa mkiwa nyumbani naamini hakuna sababu ya kujaribu au kutishia kuondoka ilihali kuna mwafaka fulani utakuwa umefikiwa na kama hakuna mwafaka utakuwa unamaanisha unapofungasha vyako
 
sawa bwana

wengi huwa akiona haujishughulishi na
mikwara yake hiyo, ataanza kuanzisha
argument za kutaka umjibu ili apotezee ule mkwara wake
ili nawe uingie kwenye discussion, mara
anaanza kulia kisanii na machozi ya kisanii juu.
Mkuu ukishaona hivyo, we timua nna uhakika ukirudi utamkuta alivyo 'vimba'
ujue tayari huyo kwisha habari yake. Haiwezekani masikio yakizidi kichwa bwana!
 
ni sawa ila kumbuka ukishatumia njia mbali2 atika kutafuta suluhu na hasa mkishashirikisha watu au kuwekwa vikao tayari mtu anafunguka na kutambua kosa au makosa na pia kutatokea waungwana wa kujaribu kusaidia kimawazo .. na kama itaonekana kushindikana nadhan wakati suruhu ikiendelea tayari mtazamo wa kuvunja au kutengana katika mahusiano kutaonekana wazi au unaweza kuuweka wazi wakati wa mijadala.. sasa mkiwa nyumbani naamini hakuna sababu ya kujaribu au kutishia kuondoka ilihali kuna mwafaka fulani utakuwa umefikiwa na kama hakuna mwafaka utakuwa unamaanisha unapofungasha vyako
Ni sawa BPM,lkn ujue kuna watu wengine anaweza akawa nafanya mambo kwa mazoea may be hilo tatizo ni lakujirudia kwa mfano anakuwa nanipiga kila mara na hiyo mkesi huwa ina suluhishwa mwara nyingi na kupatiwa ufumbuzi but anaendelea kurudia na sijawahi kusema naondoka yy anajua kitafata kikao tu then yataisha kln akisikia naondoka na anajua anayo maonyo ya kutosha atangudua imefika stage mbaya nitamkosa mwenza na si ishu ya vikao tena naamini inaweza kumstua na ikawa mwisho wa tatizo!
 
Imefika mahali mwanamke anasema "I'm leaving you" au "Naondoka" na anaweza hata kuanza kufunga virago na hata kukata tiketi. Je ina maana gani? Je mwanamme afanye nini? Je anatingisha kiberiti tu au ni hasira? Au mwanamme amwambie tu "nenda kwani nani kakukataza?". Hivi dada zetu wanaposema hivi huwa wanamaanisha kweli? Je mwanamme akionekana hajali kama ataondoka au la ni sahihi au ndio kutegeana...?

I'd call her bluff and see...
 
Mara nyingi haya yanatokea kwenye ndoa changa....iliwahi kunitokea na kweli akaondoka! Lakini baadae, baada ya kuona sijatetereka na inaweza kula kwake for good akajirudisha mwenyewe.
 
ina maana hadi atishie kuondoka ndo utambue kosa lako na kuomba msamaha???
Bila ya shaka kama ninajijua kuwa nimemkosea, nitaomba radhi kabla ya kufikia hatua ya kuniambia anaondoka. Lakini si mara zote tunaelewa na kukubali kama tulilotenda ni kosa. Tunaweza kutenda kosa ukiamini kuwa tulitenda ndivyo, lakini kama ndani ya mahusiano mna utamaduni wa mawasiliano, mwenzako anakueleza mpaka unaelewa au mnaelewana. Kama nilivyosema mwanzo, mwanamke hakurupuki tu kusema anaondoka. Ikiwa hakuna sababu kabla ya hapo, hivyo ni wajibu wa mwanamume kuepuka isifikie hatua hiyo ikiwa yeye ndio sababu.
 
Mara nyingi haya yanatokea kwenye ndoa changa....iliwahi kunitokea na kweli akaondoka! Lakini baadae, baada ya kuona sijatetereka na inaweza kula kwake for good akajirudisha mwenyewe.

huo ndio mpango, ukiona hujamkosea wala usijisumbue kumbembeleza ili akili imkae sawa.
 
Jamani kwenye mapenzi mnakuwa kama watoto so ni vizuri kusikilizana na kuelewana, kama mwanaume una makosa haijalishi unatishiwa kiasi gani la maana ni kumweka mwenzako chini omba msamaha, akitaka kuondoka mbembeleze na muombe asiondoke maana ana umuhimu mkubwa ktk maisha yako, ukimjibu 'BWANA EEH ONDOKA TU' unamzidishia maumivu na ni dharau mbaya sana kwa mtu ambaye ni mkeo. Ipo siku utataka kuondoka wewe nyumbani akikujibu ondoka utajisikiaje ww kama mume?
 
Nascroll phonebook yangu halafu kama daktari wa zahanati vile anavyogonga kengele kumuita mgonjwa,.......next
 
huo ndio mpango, ukiona hujamkosea wala usijisumbue kumbembeleza ili akili imkae sawa.
Ni kweli. Alikuwa ananituhumu 'kufanya kitu' ambacho mimi nilikuwa na uhakika 100% kuwa hakikuwepo/sikukifanya....so nilikuwa na 'confo' la kumwacha afanye analotaka. Nadhani alifanya uchunguzi akagundua kuwa 'kachemka' ikabidi arudi. Hata hivyo nilipitia kipindi kigumu sana.....it was the worst time of my marriage!
 
Back
Top Bottom