Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Hata nikikuelezea nionavyo yawezekana kabisa yeye hakuwa na maana hiyo niliyonayo mimi. Yabidi uridhike na kutoifahamu au umtafute yeye tu akuelezee alimaanisha nini nasi utupashe.
mmh leo stak samak naskia kichefu chefu nanata nisepe nw m nt flng welRose leo si ulisema unataka samaki wa kupaka kwenye lunch yako??basi nistue nikusindikize ukiwa tayari
Nilibahatika kuwa na mpenzi lakini alikuwa akiniambia neno hili untaka "JICHO"Mhmm nikamwuliza jicho mimi la nini?akacheka tukaendelea na raha zingine hadi tunaachana sijajua ninimaana yake nisaidieni wajuvi.
Nipe contacts zake mie huwa napenda mwanamke anipe "JICHO"...wewe si-hukutaka hiyo bidhaa...ni-pm niwe mteja wa hiyo bidhaa
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI NA PIA NATARAJIA USHIRIKIANO WAKO MKUBWA KATI OMBI LANGU...wako katika ujenzi wa penzi jipya kwa wala ma-jicho.
Sasa Kakiiza nawe yaani hadi mmeachana hukutaka kujua alimaanisha nini?
Jamani nitakufikisha kwa pilato kwa kunikonyeza!mmh we nawe mbona unayakoroga koroga tena km mlenda?????
mmh leo mbona ivo?
jicho la usoni au?
hahahahaahahahh!!!!!! nilizani km ndizi yako iliyomenywaKama lako linavyokonyeza
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
ahhh we mbea wewe acha zako kwa umri huo wangap umewapeleka kwa pilato ?Jamani nitakufikisha kwa pilato kwa kunikonyeza!
hahahahaahahahh!!!!!! nilizani km ndizi yako iliyomenywa
mmh una ndizi kubwa wewe jaman unamaliza peke yako kweli?ya wap i ndizi ?bukoba?rwanda?burund?ugandda?mbeya?ahh moshi hakunaga mandizi makubwa kiasi iki aaaaaahhhhhhhh ok itakuwa umeitoa kule kishumundu labda?nkatie kdg bas ndz yako nilie na ubwabwa wangu maharage!!!!!!!
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::jaw::jaw::jaw::jaw::jaw::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
We unadhani tundu gani lipo duara mithili ya "jicho" tena?
Unajua kama mtu hunakaenteresit na story wala haulizi hivyo sikuuliza baada ya kuniuliza unataka JICHO nikajua niutani anamanisha napenda macho yake basi end of story kwa hiyo ilibidi nimuulize??
nipe contacts zake mie huwa napenda mwanamke anipe "jicho"...wewe si-hukutaka hiyo bidhaa...ni-pm niwe mteja wa hiyo bidhaa
natanguliza shukrani zangu za dhati na pia natarajia ushirikiano wako mkubwa kati ombi langu...wako katika ujenzi wa penzi jipya kwa wala ma-jicho.
kwenye mambo ya macho na jicho au humo kwenye bomba na kokiMimi simo.....
ewaaaa!!kusoma hujui hata picha huoni huyo anataka akupe nukta yake.........