Mpenzi huyu!!

Hata nikikuelezea nionavyo yawezekana kabisa yeye hakuwa na maana hiyo niliyonayo mimi. Yabidi uridhike na kutoifahamu au umtafute yeye tu akuelezee alimaanisha nini nasi utupashe.
 
Nilibahatika kuwa na mpenzi lakini alikuwa akiniambia neno hili untaka "JICHO"Mhmm nikamwuliza jicho mimi la nini?akacheka tukaendelea na raha zingine hadi tunaachana sijajua ninimaana yake nisaidieni wajuvi.

Mimi simo.....
 

Attachments

  • MARADONA.jpg
    MARADONA.jpg
    19.5 KB · Views: 50
Nipe contacts zake mie huwa napenda mwanamke anipe "JICHO"...wewe si-hukutaka hiyo bidhaa...ni-pm niwe mteja wa hiyo bidhaa
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI NA PIA NATARAJIA USHIRIKIANO WAKO MKUBWA KATI OMBI LANGU...wako katika ujenzi wa penzi jipya kwa wala ma-jicho.

Teh teh teh teh teh!
 
Sasa Kakiiza nawe yaani hadi mmeachana hukutaka kujua alimaanisha nini?

Unajua kama mtu hunakaenteresit na story wala haulizi hivyo sikuuliza baada ya kuniuliza unataka JICHO nikajua niutani anamanisha napenda macho yake basi end of the story kwa hiyo ilibidi nimuulize??
 
Mimi nahisi labda alitaka macho ya KakaKiiza

Si angesema naomba maco??ila yeye alisema unataka jicho!!!??nikawa bubu ushamba bwana mzigo wakuni laiti ningejua mapema ningemwambia nipe macho siyo jicho !
 
Kama lako linavyokonyeza
:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
hahahahaahahahh!!!!!! nilizani km ndizi yako iliyomenywa
mmh una ndizi kubwa wewe jaman unamaliza peke yako kweli?ya wap i ndizi ?bukoba?rwanda?burund?ugandda?mbeya?ahh moshi hakunaga mandizi makubwa kiasi iki aaaaaahhhhhhhh ok itakuwa umeitoa kule kishumundu labda?nkatie kdg bas ndz yako nilie na ubwabwa wangu maharage!!!!!!!
 
Jamani nitakufikisha kwa pilato kwa kunikonyeza!

avatar23521_1.gif
ahhh we mbea wewe acha zako kwa umri huo wangap umewapeleka kwa pilato ?
we we wooooooote wale uliowakonyeza wangekupeleka kwa pilato ingekuwaje?bas utakoma ntakukonyeza mpk ujiulize i nini!!!!
 
hahahahaahahahh!!!!!! nilizani km ndizi yako iliyomenywa
mmh una ndizi kubwa wewe jaman unamaliza peke yako kweli?
ya wap i ndizi ?bukoba?rwanda?burund?ugandda?mbeya?ahh moshi hakunaga mandizi makubwa kiasi iki aaaaaahhhhhhhh ok itakuwa umeitoa kule kishumundu labda?nkatie kdg bas ndz yako nilie na ubwabwa wangu maharage!!!!!!!


:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
 
Unajua kama mtu hunakaenteresit na story wala haulizi hivyo sikuuliza baada ya kuniuliza unataka JICHO nikajua niutani anamanisha napenda macho yake basi end of story kwa hiyo ilibidi nimuulize??

alimaanisha {analsex}
 
Duh hii kali huyu jamaa anaomba contact tena unapenda sana jicho, kuna mtu anatoa jicho ila huwa anacharge shs 500,000,nikuunganishe.mdada mzuri tena super star
nipe contacts zake mie huwa napenda mwanamke anipe "jicho"...wewe si-hukutaka hiyo bidhaa...ni-pm niwe mteja wa hiyo bidhaa
natanguliza shukrani zangu za dhati na pia natarajia ushirikiano wako mkubwa kati ombi langu...wako katika ujenzi wa penzi jipya kwa wala ma-jicho.
 
Back
Top Bottom