Mpeni support mwenzetu

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,789
288,011
Amanda_NatCostume%5B1%5D.jpg


Kutoka Michuzi blog
Amanda Ole Sulul akiwa katika vazi lake la taifa lililobuniwa na Farouque Abdela katka maonesho ya mavazi haya ya kimataifa yaliyofanyika mjini HoCHi Minh, Vietnam.
Hivi sasa watanzania na watu wote duniani wanaweza kumpigia kura Amanda katika shindano la kutafuta vazi la taifa bora kwa kupitia mtandao. Tembelea tovuti ya www.missuniverse.com kwa maelezo zaidi.
 
Swadkta.......kura tupige ndugu zangu unajua ikfikiaga hapa ndio wabongo tunapigwa bao daily.......shime!
 
Back
Top Bottom