Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Pole kwa malezi bora ulomlea mwanao
toa pole tu maneno mengi ya nini?
Pole kwa kufiwa na Mwalimu wa Bintiyo:disapointed:
Mkuu nakubaliana na wewe, wazazi wa huyu binti ni vizuri wakajiepusha na maelezo mengi kuhusiana na Lulu, wanaweza kujikuta wazungumza vitu vitakavyomponza binti yao
Huyu mzee vipi? Alikuwa anafurahia kuona vichupi vya mwanae kwenye magazeti! Sasa anajaribu kuwa mzazi huku inaonyesha wazi kabisa yakuwa alimuachia majukumu yote mkewe? Dunia hadaaa ulimwengu shujaa. Badilisha tabia, is not too late!
baba lulu na mama lulu kwa pamoja walishindwa kumlea mtoto wao waliomleta dunian, wakasema dunia iwasaidie ndio ivyo ngoja dunia imfundishe maisha huyo hot lulu.
kwa hiyo kazi ya kumlea mwana ikaangukia kwa nguli wa filamu hapa tz?
Pole we mijibaba nyangumi inammega binti yako bila huruma!
Hivi hayo maswaibu yote yaliyokuwa yakiandika katika magazeti yeye baba eliza aka lulu hakuwahi kusikia akamkyanay wmanae?????? mh
dah hapa ndo namkumbuka nzazi aliponiambia"kuzaa hata siaimizi anazaa
..kulea ndo pagumu hapo
Pole kwa malezi bora ulomlea mwanao
Hayo ndo matokeo ya kulea kwa rimoti kontrol
Kama kuna wa kulaumiwa kwa matatizo ya lulu huyu baba lazma awe nambari 1
Wanaharakati waanzie kwa baba kwa kukimbia majukumu, halafu mama - hawa ndio chanzo cha matatizo ya huyu binti. kivipi, Baba kama walivyo baba wengi wa Africa alimuacha mama na mtoto akasepa zake Moshi. Mama nae kakaa na mtoto akaona kumlea ni kumruhusu kupiga picha za uchi kwenye internet, kumruhusu kutoka na RIP, Ak, Mheshimiwa na wote katika list ya bint, bint kuleta pesa nyumbani akaona sawa sawa mwanangu anabahati kama nini - bila kufuatilia kinachoendelea. Matokeo yake ni hayo sasa. Mbona wasanii wengi tu wameiigiza wakiwa wadogo lakini haijafikia kiasi hiki. mf. yule Monalisa mbona poa tu hadi ameolewa hafanyi hayo ya huyu mtuhumiwa.Hayo ndo matokeo ya kulea kwa rimoti kontrol
Kama kuna wa kulaumiwa kwa matatizo ya lulu huyu baba lazma awe nambari 1