Mpendazoe Kuzindua Kitabu Dodoma

Dickson Ng'hily

JF-Expert Member
Oct 22, 2010
451
485
]Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mpendazoe, anatarajia kufanya uzinduzi wa kitabu chake alichokipa jina la 'TUTASHINDA'. Uzinduzi huoo unatarajia kufanyika Dodoma tarehe 12/06/2011 na Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Mh. F. Mbowe Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni. Pamoja na mambo mengine yahusuyo harakati za mapambano ya kumkomboa mnyonge, kitabu pia kinaelezea mchakato mzima wa uanzishwaji wa kilichokuwa Chama Cha Jamii (CCJ).
 
]Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mpendazoe, anatarajia kufanya uzinduzi wa kitabu chake alichokipa jina la 'TUTASHINDA'. Uzinduzi huoo unatarajia kufanyika Dodoma tarehe 12/06/2011 na Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Mh. F. Mbowe Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni. Pamoja na mambo mengine yahusuyo harakati za mapambano ya kumkomboa mnyonge, kitabu pia kinaelezea mchakato mzima wa uanzishwaji wa kilichokuwa Chama Cha Jamii (CCJ).

Hivi inawezekana Mpendazoe akawa anatimiza ajenda za Lowassa na sio CHADEMA? Wengi tunajuwa bifu kati ya Lowassa na Sitta/Mwakyembe. Je ni kweli Mpendazoe anakerwa na Sitta au antumia chadema kufanya kazi za mtu? ni maono yangu tuuuu...
 
]Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mpendazoe, anatarajia kufanya uzinduzi wa kitabu chake alichokipa jina la 'TUTASHINDA'. Uzinduzi huoo unatarajia kufanyika Dodoma tarehe 12/06/2011 na Mgeni rasmi katika uzinduzi huo ni Mh. F. Mbowe Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni. Pamoja na mambo mengine yahusuyo harakati za mapambano ya kumkomboa mnyonge, kitabu pia kinaelezea mchakato mzima wa uanzishwaji wa kilichokuwa Chama Cha Jamii (CCJ).

...inshaalah, nakisubiri kwa hamu niusome kwa kina ili niujue uchumia tumbo wa Nape et. al.
 
Hivi inawezekana Mpendazoe akawa anatimiza ajenda za Lowassa na sio CHADEMA? Wengi tunajuwa bifu kati ya Lowassa na Sitta/Mwakyembe. Je ni kweli Mpendazoe anakerwa na Sitta au antumia chadema kufanya kazi za mtu? ni maono yangu tuuuu...

@FJM.....Mpendazoe ni mtu mzima hivyo mwulize yeye mwenyewe na bila shaka atakujibu....
 
@fjm.....mpendazoe ni mtu mzima hivyo mwulize yeye mwenyewe na bila shaka atakujibu....

tutampata wapi huyo mpenda zoe ili tumuulize? Hivi umefikiria kabla ya kujibu kweli? Na kwa nini umekuja kuandika hapa kuwa mpenda zoe anazindua kitabu? Mpendazoe si ni mtu mima si ungeacha aandike mwenyewe.
 
Duh..maisha ya kisiasa ya Mpendazoe yanaelekea kuwa mafupi kuliko nilivyodhania, anazidi kujining'iniza mwenyewe kitanzini kwa kujionyesha jinsi alivyo mtupu..
 
Na we tutajuaje kama haujatumwa na Sitta na mwakyembe....!mwache kila mwanasiasa afanye mchangowake anavyoweza:shut-mouth:
 
tutampata wapi huyo mpenda zoe ili tumuulize? Hivi umefikiria kabla ya kujibu kweli? Na kwa nini umekuja kuandika hapa kuwa mpenda zoe anazindua kitabu? Mpendazoe si ni mtu mima si ungeacha aandike mwenyewe.

Mt.Ivunga...Sijui ni nini kimekuumiza kutokana na jibu nililotoa,bila shaka wewe pia ni mtu mzima labda nikuulize...Unaweza kuujua moyo wa mtu!Sasa swali lililoulizwa linahusu motive bila shaka haya ni mambo ya ndani ya mtu mwenyewe na ndo maana nikaseama aliulizwe yeye mimi siwezi kumjibia...Mpendazoe anapatikana sana labda uwe huna haja ya kumtafuta, hta ukienda pale Kinondoni Makao Makuu ya CDM anapatika tu wala sio adimu kiasi hiko.Kuhusu kitabu, nimeandika hapa kozi sio kitu kinachohusu motive ila ni kitu halisi na copy yake nimeiona na taarifa za uzinduzi ninazo, sasa dhambi yangu hapo ni ipi?Labda Mtakatifu unisaidie......
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom