elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 168
- 23
Leo Mh Mpendazoe atakuwa akihutubia wakazi wa mji wa Morogoro katika viwanja vya Kihonda maghorofani na kesho atakuwa viwanja vya nane nane,kutokana na mtoa habari wetu pamoja na kutafuta wanachama ataeleza mpango mzima wa chama mfu cha CCJ
Nawasilisha
Nawasilisha