Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Fred,
Nakushauri uanze maandalizi ya kuchukua jimbo. Kwa kuanzia nakushauri uanze na harambee ya kuweka kifusi/mitaro kwenye barabara ya Barakuda - Vingunguti ambayo imesahaulika na serikali ya CCM.
Ukiitisha mkutano wa harambee maeneo ya Barakuda wananchi watachangia kuondoa kero ya kuogelea maji machafu kwenye kipande cha barabara hiyo kilichosahaulika ambacho ni muhimu na kinatumiwa na wapiga kura wengi wa Segerea kwenda sehemu mbalimbali za jiji kama short cut.
Usipoteze muda bali anza kutatua kero za wapiga kura uwe na uhakika wa ushindi 2015
Nakushauri uanze maandalizi ya kuchukua jimbo. Kwa kuanzia nakushauri uanze na harambee ya kuweka kifusi/mitaro kwenye barabara ya Barakuda - Vingunguti ambayo imesahaulika na serikali ya CCM.
Ukiitisha mkutano wa harambee maeneo ya Barakuda wananchi watachangia kuondoa kero ya kuogelea maji machafu kwenye kipande cha barabara hiyo kilichosahaulika ambacho ni muhimu na kinatumiwa na wapiga kura wengi wa Segerea kwenda sehemu mbalimbali za jiji kama short cut.
Usipoteze muda bali anza kutatua kero za wapiga kura uwe na uhakika wa ushindi 2015