Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Huu ni ujumbe maalum kwa Nape Magamba:
Ushahidi uko wazi, kwamba Samwel Sitta, Nape, Mpendazoe na Mwakyembe walikuwa ni wafuasi waanzilishi wa CCJ. Hili hata Kikwete analijua, bali kwa sasa ameamua kufa kwanza na Lowassa na wenzake. Akimaliza anawashughulikia Nape na kina Sitta.
Hii ni kwa sababu, Kikwete anajua anachokifanya sasa Nape ni kutaka kumuingiza Mwandosya ambaye ni rafiki wa Mwankyembe na adui wa Kikwete.
Hivyo ataamua kuwatosa wote ili afanikiwe kuweka mgombea wake, Bernard Membe. Je, Nape magamba unayajua hayo?
Ushahidi uko wazi, kwamba Samwel Sitta, Nape, Mpendazoe na Mwakyembe walikuwa ni wafuasi waanzilishi wa CCJ. Hili hata Kikwete analijua, bali kwa sasa ameamua kufa kwanza na Lowassa na wenzake. Akimaliza anawashughulikia Nape na kina Sitta.
Hii ni kwa sababu, Kikwete anajua anachokifanya sasa Nape ni kutaka kumuingiza Mwandosya ambaye ni rafiki wa Mwankyembe na adui wa Kikwete.
Hivyo ataamua kuwatosa wote ili afanikiwe kuweka mgombea wake, Bernard Membe. Je, Nape magamba unayajua hayo?