huyu slaa, naona uchaguzi umemlewesha!! Si juzi tu katuambia usalama wa taifa huripoti kwake? Imekuaje tena leo anatuambia usalama wa taifa unahusika na uchakachuaji wa kura?
sasa inamaana majimbo walioshinda chadema wamesaidiwa na usalama wa taifa kuchakachua? Na yale walioshinda ccm au vyama vingine pia ni usalama wa taifa wamewasaidia? Jamani mbona hii ni contradiction? Hivi mnamuelewaje dr.slaa?
kama usalama wa taifa wanahusika na kuchakachua kura na kuibeba ccm, basi usalama huho huo wa taifa unahusika kuchakachua kura kwa kuibeba chadema kwani wameibuka washindi ktk majimbo mengi!! Sasa slaa analalamika nini? Si yeye mwenyewe anafanya kazi na usalama wa taifa?
jk anausalama wake wa taifa na slaa pia anawake sasa kama wa jk wamechakachua huenda ujuzi wao ni wa kitaalamu au wa kisayansi zaidi kuliko uchakachuaji wa usalama wa taifa wa dr.slaa!!!!
hiki ni kichekesho!!! Yaaani mwizi analalamika kuwa mwizi mwenzake kaiba zaidi kuliko yeye!!!!!!!!
sasa inamaana majimbo walioshinda chadema wamesaidiwa na usalama wa taifa kuchakachua? Na yale walioshinda ccm au vyama vingine pia ni usalama wa taifa wamewasaidia? Jamani mbona hii ni contradiction? Hivi mnamuelewaje dr.slaa?
kama usalama wa taifa wanahusika na kuchakachua kura na kuibeba ccm, basi usalama huho huo wa taifa unahusika kuchakachua kura kwa kuibeba chadema kwani wameibuka washindi ktk majimbo mengi!! Sasa slaa analalamika nini? Si yeye mwenyewe anafanya kazi na usalama wa taifa?
jk anausalama wake wa taifa na slaa pia anawake sasa kama wa jk wamechakachua huenda ujuzi wao ni wa kitaalamu au wa kisayansi zaidi kuliko uchakachuaji wa usalama wa taifa wa dr.slaa!!!!
hiki ni kichekesho!!! Yaaani mwizi analalamika kuwa mwizi mwenzake kaiba zaidi kuliko yeye!!!!!!!!