Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
mkuu signatute yako sio ya kujifariji zaidi?
signature yake inafaa kutumika katika harakati hizi za ukombozi wa kweli wa nchi hii iliyojaa maziwa na asali tuliyopewa na mwenyenzi mungu, lakini cha ajabu watu wake wanataabika utadhani wapangaji ndani ya nchi yao.
freedom is coming sooner than later, nahisi kama kuna uchaguzi mdogo wa urais hivi