polisi wa shinyanga wana akili kama ya kondoo, mbona Robert Kisena alimpiga mateke OCD wa Maswa na hakuchukuliwa hatua yoyote?[/QUOTE
ALIDHAMINIWA NA MTOTO WA MZEE...
<br />polisi wa shinyanga wana akili kama ya kondoo, mbona Robert Kisena alimpiga mateke OCD wa Maswa na hakuchukuliwa hatua yoyote?[/QUOTE<br />
<br />
<b>ALIDHAMINIWA NA MTOTO WA MZEE...</b>
<br />
<br />polisi wa shinyanga wana akili kama ya kondoo, mbona Robert Kisena alimpiga mateke OCD wa Maswa na hakuchukuliwa hatua yoyote?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Siunajua R.Kisena na Riz1 wakoje mkuu? Jamaa angesemewa kwa Jk
Hiyo ndo polisi. Ipo siku tutayasahau yote.Kwamba mahaka ya arusha ilipotoa arrest warranty kwa freeman mbowe, polisi kanda maalum ya dsm walihakikisha wanamkamata mara moja na kumsafirisha kwa ndege ya jeshi chini ya ulinzi mkali hadi arusha.
Kkwamba mpendazoe amekuwa akitafutwa na jeshi hilo hilo la polisi kwa kuwa anaishi dsm pale pale walipomkamatia mbowe na kumpeleka arusha, kwa maana kwamba polisi shinyanga na polisi dsm hawana mawasiliano na hawana ushirikiano.
<br />Kwamba mahaka ya arusha ilipotoa arrest warranty kwa freeman mbowe, polisi kanda maalum ya dsm walihakikisha wanamkamata mara moja na kumsafirisha kwa ndege ya jeshi chini ya ulinzi mkali hadi arusha.<br />
<br />
Kkwamba mpendazoe amekuwa akitafutwa na jeshi hilo hilo la polisi kwa kuwa anaishi dsm pale pale walipomkamatia mbowe na kumpeleka arusha, kwa maana kwamba polisi shinyanga na polisi dsm hawana mawasiliano na hawana ushirikiano.
Bwahahaha hayo ndio mazingaombwe ya jeshi letuKwamba mahaka ya arusha ilipotoa arrest warranty kwa freeman mbowe, polisi kanda maalum ya dsm walihakikisha wanamkamata mara moja na kumsafirisha kwa ndege ya jeshi chini ya ulinzi mkali hadi arusha.<br />
<br />
Kkwamba mpendazoe amekuwa akitafutwa na jeshi hilo hilo la polisi kwa kuwa anaishi dsm pale pale walipomkamatia mbowe na kumpeleka arusha, kwa maana kwamba polisi shinyanga na polisi dsm hawana mawasiliano na hawana ushirikiano.
Acha kuropoka unatuaibisha, aliyekamatwa ni Fredy Mpendazoe siyo Freman Mbowe.Uwe unasoma thread kwa makini dogo.
Mkuu unaonaje ukitulia ukasoma mawazo ya wenzako ukaelewa kuliko kukurupuka?
Amesema hivi, Kesi ya Mbowe ilikuwa Arusha lakini Mbowe alikamatwa Dar na kupelekwa kwa ndege Arusha.
Mpendazoe alifunguliwa kesi Shinyanga anaishi Dar lakini polisi walishindwa kumkamata, sasa kama mazingira ya Mbowe na Mpendazoe yanafanana inamaana Polisi wa Dar na Shinyanga hawawasiliani?
Ni hayo tu
Kwamba mahaka ya arusha ilipotoa arrest warranty kwa freeman mbowe, polisi kanda maalum ya dsm walihakikisha wanamkamata mara moja na kumsafirisha kwa ndege ya jeshi chini ya ulinzi mkali hadi arusha.<br />
<br />
Kkwamba mpendazoe amekuwa akitafutwa na jeshi hilo hilo la polisi kwa kuwa anaishi dsm pale pale walipomkamatia mbowe na kumpeleka arusha, kwa maana kwamba polisi shinyanga na polisi dsm hawana mawasiliano na hawana ushirikiano.
mkuu signatute yako sio ya kujifariji zaidi?Naomba signature yangu iendelee kuwapa nguvu wanaharakati wote,wapenda haki na uhuru wa kweli