menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
jamani wanajamvini mnalipi la kusema juu ya hili? Jamaa yangu hapa home ana duka siunajua mpemba so amempiga marufuku mkewe kuvaa kufuli ili atakapo jisikia mzuka tu ajimwage kwa raha zake lakini usiku akijisikia basi hupanda kifuani nakuanza mambo wakati mkewe kalala hali hii imekua ikimkera mkewe sana! Jamani wana jamvini msaidieni huyu mpemba.