Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Jamaa mmoja wa kipemba aliyekuwa hajawahi kupanda gari hata siku moja,
alikuwa anasafiri kwenye basi akiwa kwenye siti ya mbele kabisa.
Mara ikatokea ajali na baada ya tukio hilo la ajali yule jamaa
akatakiwa kutoa ushahidi mahakamani na ushahidi wake ulikuwa kama
ifuatavyo;
"kwanza wakati safari yaanza tu nkajua kuwa huyu si dereva! kuna
lijiti akikazana kuling'oaaa"(wakati dereva akiingiza gia),
"halafu akawa hatulii mikono ikintetema"(akizungusha msukani).
"Njiani ikawa ni mbio tu! twafukuzana na miti,miti yenda na sie
twenda,nliposikia puuu! nkajua tayari ivooo! miti ishatugonga au sie
tushaigonga miti
alikuwa anasafiri kwenye basi akiwa kwenye siti ya mbele kabisa.
Mara ikatokea ajali na baada ya tukio hilo la ajali yule jamaa
akatakiwa kutoa ushahidi mahakamani na ushahidi wake ulikuwa kama
ifuatavyo;
"kwanza wakati safari yaanza tu nkajua kuwa huyu si dereva! kuna
lijiti akikazana kuling'oaaa"(wakati dereva akiingiza gia),
"halafu akawa hatulii mikono ikintetema"(akizungusha msukani).
"Njiani ikawa ni mbio tu! twafukuzana na miti,miti yenda na sie
twenda,nliposikia puuu! nkajua tayari ivooo! miti ishatugonga au sie
tushaigonga miti