Mpemba

Globu

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
8,571
2,068
Kuna mpemba alipelekwa mahakamani, kwa kesi ya wizi wa muhogo. Yule mpemba alikuwa anaweka zogo sana mahakamani. Jaji akamwambia askari 'mpe chai' askari akampiga kibao. Baada ya ya dakika mbili mpemba akarejesha kibao kwa askari. Jaji akamuliza mpemba 'kwanini unampiga askari' mpemba akajibu ' namrejeshea vikombevyeee' hah hah haaa.
 
Back
Top Bottom