Yericko Nyerere
R U GUESSING OR SERIOUS Unaposema Juhudi za Kimataifa? What is CCM again? first PLO haiwezi kusuluhisha
Sababu ilikuwa inamsaport IDD AMIN kwenye VITA na Tanzania na pia walipeleka Wanajeshi...
ANC Umeona Haina Uhusiano na Tanzania toka Oliver Tambo aondoke... Waliopo Sasa hawana Connection
FRELIMO labda lakini watamuita LOWASSA na SITTA na kuwaambia pendaneni? kuna utajiri wa GAS?
Frelimo wenyewe sio Socialist RAIS wao ni billionea kwahiyo sijui itikadi gani itawasaidia CCM...
NDOTO NDOTO....
Mkuu,
Hoja nyepesi sana hiyo, haiwezi kusababisha mpasuko unaousema. CCM inajipanga sasa hivi, ndo maana wapinzani kwa nje mnakikuza hata kidogo kinachotokea chamani. poleni sana
Me hilo halininyimi usingizi,,,,,sinufaiki na chama chochote kwa namna yeyote,,,,,,,,