IshaLubuva
JF-Expert Member
- Dec 4, 2008
- 250
- 11
Kumekuwa na kawaida ya kuufunga mche wa Mpapai Gunzi wakati ukiwa unakua kwa imani kwamba kwa kufanya hivyo kutaufanya mpapai kutokuwa dume (kuzaa mapapai). Kawaida hii nimeiona sehemu nyingi katika nchi hii. Ningependa wataalamu wathibitishe iwapo kuna mahusiano kati ya ufungaji Gunzi na asi/i/tabia ya uzazi ya mpapa tafadhal