fimbombaya
Member
- Apr 11, 2011
- 47
- 12
Jamani ule mpango wa serikali kulipa watumishi wake mishahara ya januar umeanza kutekelezwa au ilikuwa mbwembwe zao tu. Kwa alie na taarifa rasmi ya utekelezaji wake atujuze!
Jamani ule mpango wa serikali kulipa watumishi wake mishahara ya januar umeanza kutekelezwa au ilikuwa mbwembwe zao tu. Kwa alie na taarifa rasmi ya utekelezaji wake atujuze!
ulikwepo mwezi december mwaka jana,na ilikuwa majaribio kwa mikoa ya dodoma,sumbawanga na pwani,it is too costly sababu inabidi kila mtumishi apewe check yake na kila check inaandikiwa vocha yake,..isn't that madness?nafikiri wameona hilo na wameupiga chini mpango mzima...
Jamani ule mpango wa serikali kulipa watumishi wake mishahara ya januar umeanza kutekelezwa au ilikuwa mbwembwe zao tu. Kwa alie na taarifa rasmi ya utekelezaji wake atujuze!