Kijana Msomali
Member
- May 10, 2012
- 92
- 71
Wanajamii forums nimefanikiwa kupata from my reliable sources within UDSM mazungumzo kati ya kiongozi mmoja mwandamizi katika ofisi ya VC na mhadhiri mmoja mwandamizi katika kitengo cha sayansi ya siasa anaeusaka kwa udi na vumba uongozi wa juu ndani UDASA.
Mazungumzo ya vigogo hao wawili pale Mlimani ulimhusu sana Kitila Mkumbo ambaye haitaji introduction kwa wanajamii forums na wafuatiliaji wa siasa za Tanzania.
Na haya ni part ya mazungumzo yao in text format.
MHADHIRI MWANDAMIZI: Chief, This Guy Kitila Anautumia Mwavula wa UDASA kwa mpango wake wa kujiimarisha kisiasa kuelekea 2015, his actions are UNACCEPTABLE Chief.
KIONGOZI MWANDAMIZI: Unachokisema Dr.( Anataja Jina) ni facts, uongozi wa juu wa chuo unalifahamu hilo, wana UDASA wengi pia wanalifahamu pia, kwa hiyo we are monitoring his movements closely.
MHANDIRI MWANDAMIZI: Na hili la yeye kutumia resources za chuo kama Nkurumah Hall uongozi wa chuo unalizungumziaje kwani kilichotokea Jumapili iliyopita Nyerer Day kimewasikitisha wengi.
KIONGOZI MWANDAMIZI: Off course uongozi wa chuo uko standby na kama nilivyokwisha kuambia we are monitoring his movements, na tunajua ameweza kupata sponsorships na publicity kutoka ITV kwa kutumia UDASA.We know every thing DR.(Anataja Jina)
MHADHIRI MWANDAMIZI: Hii inaniuma sana Professor (Anataja Jina) this Guy hawezi kutumia resources za chuo na za UDASA for his personal political ambitions, tunajua 2015 atagombea ubunge kupitia ( Anataja Jina La Chama) kwa hiyo anasafisha njia ya kujenga jina lake na ushawishi ndani ya Jamii, na in fact Professor this guy amefanikiwa so far, he is getting all the headlines at the expense of our resources. we need to do something Professor.
KIONGOZI MWANDAMIZI: Dont worry DR(Anataja Jina) we are going to neutralize every thing sooner than you think, isitoshe muda wa uongozi uliopo wa UDASA unamaliza muda wake.Tuta hakikisha tuna lobby vya kutosha ili asipendekezwe kurudi kwenye nafasi yake ya sasa.
https://www.jamiiforums.com/members/kitila-mkumbo.html Kitila Mkumbo
Nina maswali makuu matatu kwako.
1.Una taarifa zozote za mpango wa kuhakikisha haurudi kwenye nafasi yako ya sasa?
2.Kama Ndio, Umejipanga vipi kuepukana na gharika hilo?
3. Hili la wewe kutumia resources za chuo na UDASA kwa maslahi yako binafsi unalizungumziaje?