Kweli, ila kama kasema source ni yeye, hilo ni jukumu lako kuamini au kuto amini, kwamba yeye ni chanzo cha habari hiyo.sote tunajua sio kila chanzo cha habari kinaaminika, anaweza akawa kaambiwa na rafiki yake ambaye naye kasikia tetesi kwani hakuna supportive docs zozote.
sote tunajua sio kila chanzo cha habari kinaaminika, anaweza akawa kaambiwa na rafiki yake ambaye naye kasikia tetesi kwani hakuna supportive docs zozote.
TZ kila mtu intelijensia! mh
Ridhiwani alikamatwa na madawa yeye mwenyewe?
lini ilikuwa?
madawa ya kiasi gani?
Ridhiwani alikamatwa na madawa yeye mwenyewe?
lini ilikuwa?
madawa ya kiasi gani?
Ridhiwani alikamatwa na madawa yeye mwenyewe?
lini ilikuwa?
madawa ya kiasi gani?
kwanza chanzo cha habari
pili hapo mwenye red juu kabisa dadvua tafadhali
tatu uchawi? una hakika kuwa uchawi ndio ulifanywa katika sakata la mwakyembe nani kathibitisha kuwa ilikuwa uchawi mkuu?
Iron Lady!!aiseee.......shemeji anaongea kweli huko nyumbani?nani huwa anaanza kuomba gemu kati yenu?hata hivyo hawatafanikiwa kwani atakuwa ameshapata taarifa
lini ilikuwa?
Wako kwenye moyo wako peke yako bana!RIP CHADEMA & DR SLAA!Chadema na Dr Slaa wapo mioyoni mwetu, so wakimuondoa nadhani ndo watatupa hasira zaidi za kumuenzi, ccm RIP
hii kaituma Dr.Slaa mwenyewe.....hata hivyo hawatafanikiwa kwani atakuwa ameshapata taarifa