Elections 2010 Mpango wa kubadilisha matokeo ya Uchaguzi kweli umeandaliwa

according to the figures from nbs TZ will have 41.2 mio. people by now na si 43 kama msimamizi alivyosema na kama ni 41.2 mio. haiwezekani kukawa na wapiga kura 19 mio. hapa kuna utata! Katika chaguzi kama za Tanzania huwa kuna mpk 10% ya watu wasiojiandikisha ukichukulia ukiritimba wa serukali ilivyokataa kutoa mwamko unaopaswa kujiandikisha wananchi maana zoezi lilienda kisiri siri sana na ukizingatia kupiga kura si compulsory kisheria kama nchi nyingine!

Ndio maana vyama vina wakala kila kituo ili kukidhi haja na kuthibitisha idadi ya wapiga kura kwa kila kituo nchini. Sio rahisi kupika matokeo nje ya vituo kwani kila kituo kitakuwa na kumbukumbu ya wapiga kura na kitatoa idadi yao na waliojitokeza siku ya kupiga kula. jamani tusidanganyane kila chama kiweke mawakala kama sheria za uchaguzi zinavyosema ili kila chama kijiridhishe kuwa hakukuwa na mchezo mchafu. kwa mujibu wa tume ya uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka huo utakuwa na wapiga kura wasiozidi 500 kwa kila kituo jambo ambalo litarahisisha kuhesabu na kutoa matokeo mapema.
 
hata kwenye mtandao wa jf munaleta fujo!!!!
chadema wacheni fujo!!!!!

Hivi chadema wanawezaje kujitoa kwamba hawaleti fujo nchini? ingia jamiiforums ukutane na wafuasi wa chama hicho. Fujo haziletwi na vyombo vya ulinzi na usalama kama inavyodaiwa bali pia na vyombo vya habari kama ilivyo kwa wafuasi wa chadema kulitumia jukwaa hili vibaya kuishambulia na kutukana viongozi wakati mwingine bila hata ushahidi wa kutosha.
 
Jeshi la Ulinzi na Usalama likae mkao wa kudhibiti vurugu na ghasia baada ya uchaguzi kwani kuna watu wanataka kuvuruga amani kwa kukataa ushindi wa kikwete. Zipo dalili kwamba wafuasi wa chadema hapa jamiiforums na wengine nchini wanataka kutulazimisha kwamba ni lazima Dr Slaa ashinde. Tuwaache watanzania waamue kwa kupiga kura ni nani awe Rais wao. Kelele hizi za kwamba wanataka kuibiwa kura ni chokochoko za mwanzo kuhalalisha fujo baada ya uchaguzi
 
Tatizo mawakala wana njaa..... na kila mtu anataka kula nchi hii


Njaa ya mawakala wa kulaumiwa ni nani...CCM............ hapana ni vyama vyenyewe kutokuwa makini kuchagua aina ya mawakala. Na hili ndilo tatizo kubwa wala si CCM.
 
Kikwete amejitahidi sana kutupa nafasi sisi akina mama kuliko marais waliomtangua kura zetu ni kwake. Akina mama tukimpa miaka mitano mingine atakuwa ametufikisha mbali katika kutuongeza katika vikao vya maamuzi na uongozi. nani asiyejua umuhimu wa mama katika jamii.
 
Mfa maji haachi kutapatapa, kutafuta mchawi wa kuagua na kupiga ramli kwa sana. Wameanza kutafuta visingizio vya kuibiwa kura mapema kweupe....Chadema wanapenda kulialia kama watoto wadogo.
 
mfa maji haachi kutapatapa, kutafuta mchawi wa kuagua na kupiga ramli kwa sana. Wameanza kutafuta visingizio vya kuibiwa kura mapema kweupe....Chadema wanapenda kulialia kama watoto wadogo.
Mbinu hii wameiga kutoka CUF -Zanzibar, na kwa dalili hizi sitoshangaa Chadema wakitangaza matokeo ya uchaguzi kabla ya NEC
 
CCM itashinda kwa kura ambazo hazijachakachuliwa. Kuwahusisha Usalama wa Taifa ni mbinu mbadala ya kutaka tuamini kwamba chadema wataibia kura.... sera nzuri zinatosha kuzuia uchakachuaji eee nendeni kwa wananchi kawaambie uzuri wa chama chenu acha propaganda.
 
tutapigana kwa hoja. sidhani kama hilo ni jambo baya.Na kama mtu umekaa ukisubiri tupigane, then you are not doing your part, stand up and speak. Election ni kushinda au kushindwa, but pia ni kutangazwa mshindi au mshindwa. So tutajadili hoja hizo baada ya election. Anayedhani kuwa hii election sio dead heat, then hautendei haki uwezo wake wa kufikiri. NEC ikitangaza asilimia 80 za JK tutajadili. There is no way kwa election ambayo is too close kama hii mgombea mmoja apate 80 percent. Huo utakuwa uwongo wa mchana na tutajadili hilo. Sasa ikifika hapa tutajadili na wala hakuna cha kuogopa. So sidhani kama tuna haja ya kupigana au kukimbia mtandao huu.
 
Kikwete amejitahidi sana kutupa nafasi sisi akina mama kuliko marais waliomtangua kura zetu ni kwake. Akina mama tukimpa miaka mitano mingine atakuwa ametufikisha mbali katika kutuongeza katika vikao vya maamuzi na uongozi. nani asiyejua umuhimu wa mama katika jamii.

Unampa kura kwa sababu amewapa nafasi za uongozi wanawake au uwezo wake? . Nafikiri issue ni uongozi unapewa kuzingatia sifa na vigezo vyenye tija kwa taifa, haitakuwa na maana yeyote kama tuna 60% ya viongozi wanawake lakini wamepata uongozi based on urafiki au sifa zisizo na msingi. Kuna mambo mawili ambayo naamini Mwl Nyerere alisema ni miongoni mwa sifa zinazofaa Rais wa Tz awe nazo. Moja ni Kuguswa toka ndani juu ya umaskini wa watanzania, na pili ni kukerwa na Rushwa. Kama JK angekuwa ameonyesha dhamira ya dhati kwa haya, nusu ya posts za uchaguzi hapa jamvini zisingekuwepo.
 
Kikwete amejitahidi sana kutupa nafasi sisi akina mama kuliko marais waliomtangua kura zetu ni kwake. Akina mama tukimpa miaka mitano mingine atakuwa ametufikisha mbali katika kutuongeza katika vikao vya maamuzi na uongozi. nani asiyejua umuhimu wa mama katika jamii.

Kama kweli wewe ni mwana mama, hebu simulia ulivyonufaika na nafasi za akina mama. Naelewa kuna sifa za siri unazotakiwa kuwa nazo kabla hujanufaika, wewe Vipi unazo?

'Mama' heshimu utu wako kuliko kutumaini nafasi hizo. Au hukusikia yaliyokuwa yakifanywa kule Arusha kwenye semina elekezi ya wakuu wa Wilaya? Kama nawe unatamani hayo yakutokee miaka mitano ijayo, Hongera kwa uvumilivu.
 
mfa maji haachi kutapatapa, kutafuta mchawi wa kuagua na kupiga ramli kwa sana. Wameanza kutafuta visingizio vya kuibiwa kura mapema kweupe....Chadema wanapenda kulialia kama watoto wadogo.

Sijui kwa nini hutaki kutumia takwimu! Wenzako wametoa takwimu na rejea rundo, wewe unatumia maneno ya taarabu. Maelezo tuuuu! Au wewe siyo msomi? Maana nasikia uongozi wa CCM haupatikani kwa wasomi.

Unatolewa kwa mbumbumbu halafu wanapewa vyeti hadi u-Dr.
 
sijui kwa nini hutaki kutumia takwimu! Wenzako wametoa takwimu na rejea rundo, wewe unatumia maneno ya taarabu. Maelezo tuuuu! Au wewe siyo msomi? Maana nasikia uongozi wa ccm haupatikani kwa wasomi.

unatolewa kwa mbumbumbu halafu wanapewa vyeti hadi u-dr.

hivi yule mgombea mwenza wa slaa ni darasa la ngapi vile!!!!
 
Kikwete amejitahidi sana kutupa nafasi sisi akina mama kuliko marais waliomtangua kura zetu ni kwake. Akina mama tukimpa miaka mitano mingine atakuwa ametufikisha mbali katika kutuongeza katika vikao vya maamuzi na uongozi. nani asiyejua umuhimu wa mama katika jamii.


ni kweli mama Porojo kasaidia kuwapa wa mama na wengi wao anashukia kwao akienda kwa riadha maalum, kama yule wa Mpwapwa aliyehamishiwa Morogoro akaharibu kipindi cha mafuriko ni nani Vilee???????????/
Kina shemeji Hawa ghasia na wale warembo wa zamani vileeeeeeeee
kwa sisi ambao tunajua umuhimu wa miili yetu na kujituma, tusiopenda udhalilishwaji wa kijinsia

Mi BADO KIKWETE NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mikurugenzi ikalia miofisi haifanyi chochote eti nishabikie kisa ni mwanamke kawekwa paleeeeeeeeeeeeee
Tunataka wanawake kama kina Rose Migiro sio anaweka watu ili baadae wamsaidie kuifadhi fedha za uchaguziiiiiiiiiiiiiii

Mwambie Kikwete huyu wa Dodoma Municipa ofisi za Mkopo zitamtia ndani kwani hajalipa makato yao ya January 2010 mpaka leo

Kama alizitumia kufanyia kampeni tutammaliza....



HII NI KUTOKA KWA MAMA MWEZIO, SISI SIO CHANGUDOA WA UONGOZI.......
 
Back
Top Bottom