Mpango wa CCM kuhusu Kigamboni una walakini wa maono!

Kila kitu ni usanii, make na zile nan hii, zile plan za magari yaendayo kasi yawezekana ni yale mabango ya kikwete ya uchaguzi kesha tumia hiyo pesa kwenye mabango ya ccm. Kama tangu uhuru mmeshindwa hata kufanya usafi kwenye mji uliopo wa dar, leo hii huo mji mtaujenga kwa pesa ya nani?
 
Haya yooote ni uongo wakawaida tu. CCM walikwisha jua dawa ya wa-TZ ni njozi tu.

Ushaidi ni hilo daraja... kana kwamba haitoshi wakaja na mradi wa mabasi yaendayo kasi... hii imekuwa kiini macho hadi leo.

Nilicheka a couple of months ago JK alizindua huo mradi... nikadhania anazindua ujenzi wa infrastructure, kuja kuona anazindua mradi kwenye makaratasi, nikasema hawa jamaa wameozea kutuchezea.

Hii yote ni janja ya uchaguzi tu... ole wao.... maana wananchi tumeshtuka.
 
Nimeupenda huu uchambuzi sana,hoja ya kuijenga Tanga ni nzito sana na yenye akili kwa manufaa ya taifa kulikoni mpango wa kigamboni ambao nahisi kuna watu wachache wana mpango wa kunufaika nao.
 
Tanga ina watu 250,000 na iko umbali wa karibu saa moja na nusu tu kutoka Dar; ina msongamano wa watu mara tatu pungufu kuliko Dar kwa kilomita ya mraba na ina ardhi yakutosha kabisa kuweza kuchukua karibu watu milioni moja! tell me kwanini watawala wetu hawaiendelezi Tanga?
 
Tanga ina watu 250,000 na iko umbali wa karibu saa moja na nusu tu kutoka Dar; ina msongamano wa watu mara tatu pungufu kuliko Dar kwa kilomita ya mraba na ina ardhi yakutosha kabisa kuweza kuchukua karibu watu milioni moja! tell me kwanini watawala wetu hawaiendelezi Tanga?

Umbali wa saa moja na nusu kati ya Dar na Tanga? Labda kwa treni za umeme alizoahidi Dr. Slaa. :mad2:
 
Mtazamo wangu ni kuwa muandishi ameandika makala kwa kutumia hisia zaidi ya uthibitisho. Kama anavyowakosoa CCM kwa kujenga hoja ya madi huu bila ya kutupa uthibitisho wa vyanzo vya pesa n.k, ndivyo yeye alivyoshindwa kutupa uthibitisho wa kwa nini mradi huu haufai.

Ndugu zangu, lengo kubwa lisilosemwa la kujenga hilo jiji jipya la Kigamboni ni kukubali kuwa watawala wetu wa leo wameshindwa kuboresha na kujenga jiji la Dar la sasa. Ni kukubali kuwa kufanya jiji la Dar la sasa kuwa la kisasa kumewashinda sasa wanataka kujaribu eneo jipya wakiamini kuwa wataweza.

Nna mashaka mengi na hili hitimisho alilolifikia mwandishi kuwa lengo kubwa lisilosemwa ni kuwa watawala wameshindwa kuboresha jiji la Dar kwa hiyo wameamua kujaribu kwengine. Mwandishi amefikia hitimisho hilo kama nani? Mtaalamu wa mipango miji? Mwandishi aliyetumia vielelezo au ni maoni binafsi yasiyofungamana na nukuu za kitaalamu?

Matatizo ya KUVAMIA taaluma za watu. Umeona hata mwandishi mwenyewe hana hoja za ziada kwenye haya uliyoaandika? :smile-big:
 
Tanga ina watu 250,000 na iko umbali wa karibu saa moja na nusu tu kutoka Dar; ina msongamano wa watu mara tatu pungufu kuliko Dar kwa kilomita ya mraba na ina ardhi yakutosha kabisa kuweza kuchukua karibu watu milioni moja! tell me kwanini watawala wetu hawaiendelezi Tanga?

ivi mji unaendelezwa na serikali au watu?
 
Tanga ina watu 250,000 na iko umbali wa karibu saa moja na nusu tu kutoka Dar; ina msongamano wa watu mara tatu pungufu kuliko Dar kwa kilomita ya mraba na ina ardhi yakutosha kabisa kuweza kuchukua karibu watu milioni moja! tell me kwanini watawala wetu hawaiendelezi Tanga?

kuna choice mbili za kuzingatia hapa (in reality there are a lot more choices than discussed by this jounalist)

ama kuendeleza Kigamboni au kuendeleza Tanga.

Hajatuonyeshwa kwa nini Kusiendelezwe Kigamboni bali Tanga. Kwa hiyo bado linakuwa Kwa nini Tanga na sio Kigamboni?
 
Mwanakijiji wameshindwa kuhamia Dodoma sasa unataka waende Tanga? Waache bwana wakae kwenye Long Beach ya Dar es Salaam i.e. Kigamboni!
 
Na Wakati kuna malaki ya Wanafunzi wanasugua Makalio kwenye sakafu, Maelfu ya Wamama wanajifungulia Chini!
mkuu huu mpango una issues zake yes, but with all due respect nadhani you ahve missed a very important point... hii ni PPP na lions share ya expenses inaenda kwa private investors mkuu
 
Mpango uko chini ya Manispaa ya Temeke, Serikali inaona Dodoma siyo priority
 
Back
Top Bottom