Mtakumbuka jana niliwajuza kuwa nilikuwa na magamba watatu wazito wakanijuza kuwa mpango umesukwa kuwa Lema anamwagwa ili akikata rufaa kesi uvutwe mpaka karibu na 2015 kwa kweli sikuamini lakini kilichotokea Arusha kimenifanya niamini. Magamba yale yalinieleza kuwa ilikupotezea hili Makongoro Mahanga watamwaga pia kwa kuwa yeye kwanza hakuupata ubunge kihalali lakini watakata rufaa ili kuvuta mapaka karibu na 2015. Tusubiri tuone na hili.