Elections 2010 MPANGO mbaya dhidi ya kura......

Ngoja nivunje ukimya kwenye hii thread. Mkuu supporters wa upizani (na labda vyama vya upinzani vyenyewe) haswa mwaka huu wana nishangaza sana. They are so confident kwamba wata shinda lakini at the same time wamesha andaa defense mechanism ya kwamba wata zulumiwa. In short kwao uchaguzi kuwa huru na haki ni wao tu kushindwa ila wakishindwa basi wame fanyiwa foul.

Mkuu kama upinzani ikishinda ita kuwa very obvious na wala CCM hawata weza kuficha. Kwa mfano nasikia apparently polls nyingi zina mpa Dr. Slaa around 65-75%. Tanzania mtu kushinda uraisi ana hitaji 50%+1 kushinda. Sasa kama Dr. Slaa ana pewa chance kubwa hivyo ya kushinda assuming ana pata kura idadi hiyo CCM wata ziibaje na kuzi punguza mpaka ziwe chini ya 50%+1?

Kuna mtu mmoja alisha wahi kusemaga "In Africa elections are only free and fair when the opposition wins". Hii ni demokrasia mkuu. Msi tangaze ushindi wa kishindo lakini at the same time mna kimbilia kusema kura zitaibiwa. Wengine wana jiuliza kama nchi ita kalika CCM ikishindwa mimi najiuliza kama hali ita kuwa tulivu kama upinzani ukishinda.


Well nime fungua mkuu na kwa ufunguzi huu I guarantee thread yako ita pata replies nyingi. Na mimi ngoja nijitetee mapema nisema nasubiria kukaangwa na mashabiki wa raisi mteule Dr. W. Slaa.

Mwana FA na wana JF, naomba kupata ufafanuzi wa kina kuhusu hili swala la ushindi kama mwana FA alivyosema mshindi lazima apatikana kwa 50% plus lakini nilisha wahi sikia kuwa wabunge wa CCM walibadili katiba na mshindi anaepata kura nyingi ndo mshindi haijalishi kapata zaidi ya 50% au la? kwa mfano CHADEMA 44% CCM 43% CUF 10% OTHER PARTIES 3% then chadema atatangazwa mshindi and vice versa is true bila kujali amevuka nusu ya kura zote zilizopigwa au mimi ndo nimekosee wazee?

Na kuhusu malipo ya mawakala nimesikia kuwa NEC ndo itakuwa na jukumu la kuwalipa mawakala au nime confuse jamani, nisameheni na mnipe taarifa zilizo sahihi, ndugu zangu.

Na je Chadema wamwkwisha andaa mawakala na kuanza kuwapa semina na training kuwajaza itikadi za chama na uzalendo kama wanavyofanya CUF?

Msaada tafadhali mwenye more information.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom