Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,218
- 28,732
Wanajukwaa,
Kwa kuwa CCM sasa ipo ktk mkakati wa ndani zaidi kuangalia how to win KWA lazima, nimepata MADHANIA kwamba, kwa kuwa watanzania wanahisi CCM inaweza kuiba kura, wanaweza kuja na mkakati wa kuiba kura na kuzitupia ktk vyama vingine vya upinzania ili ionekane wamegawana kura na CCM wamepita kwa ushindi mwembamba. STUKA
Nimeongea KIJERUMANI hapo
Kwa kuwa CCM sasa ipo ktk mkakati wa ndani zaidi kuangalia how to win KWA lazima, nimepata MADHANIA kwamba, kwa kuwa watanzania wanahisi CCM inaweza kuiba kura, wanaweza kuja na mkakati wa kuiba kura na kuzitupia ktk vyama vingine vya upinzania ili ionekane wamegawana kura na CCM wamepita kwa ushindi mwembamba. STUKA
Nimeongea KIJERUMANI hapo