Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Wakuu kama tutakumbuka toka mfumo wa vyama vingi uanze in 1995 kila uchaguzi mgombea uraisi wa CCM picha yake huwa ya kwanza kwenye ile karatasi ya kura, i.e far left.
Je mwaka huu vyama vya upinzani wamewasiliana na tume kuhakikisha kuna mabadiliko as such to have Kikwete sandwiched somewhere in between wagombea wote. I am sure CCM haiko tayari kwa hili hasa ukizingatia upepo hauko on their side. Je si wakati muafaka kwa CHADEMA kukomaa ili Dr. Slaa asiwe sandwiched na kibongobongo kuconfuse the voters?????????????
Je mwaka huu vyama vya upinzani wamewasiliana na tume kuhakikisha kuna mabadiliko as such to have Kikwete sandwiched somewhere in between wagombea wote. I am sure CCM haiko tayari kwa hili hasa ukizingatia upepo hauko on their side. Je si wakati muafaka kwa CHADEMA kukomaa ili Dr. Slaa asiwe sandwiched na kibongobongo kuconfuse the voters?????????????