Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,285
Mpangaji wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mzee Kibore, anayeishi mtaa wa Agrey, amegoma kuhamishwa katika nyumba ya shirika hilo, na kufyatua risasi mbili hewani ili kuwatimua wadai hao.
Ujumbe wa wahamishaji hao uliomba msaada wa polisi, nao wakaja na kumkamata mpangaji huyo mkorofi.
Kwa sasa yupo chini ya ulinzi kituo cha polisi M/Mmoja.
Source: Channel Ten HABARI
Ujumbe wa wahamishaji hao uliomba msaada wa polisi, nao wakaja na kumkamata mpangaji huyo mkorofi.
Kwa sasa yupo chini ya ulinzi kituo cha polisi M/Mmoja.
Source: Channel Ten HABARI