Mpangaji mwenzangu ameninunia kisa siku hizi nimeacha kumtekenya

Wakuu habari?
Kama mnavyokumbuka kuna siku nilileta uzi humu kuwa natangaza kuachana na pombe rasmi kutokana na kushndwa kuicontrol na kujikuta nikifanya ishu za ajabu.Asa enzi za ulevi wangu nilikua kila nikirudi nyumban kuna mpangaji mwenzangu hapa tena kahamia muda si mrefu na ni mwalimu wa secondary nilikua na kawaida nikimkuta kainama either anafua au anaosha vyombo namtekenya au namshika nyonyo alafu na yeye hata hakasiriki anakua anachekelea tu.so tangu nimeacha pombe na tabia za hovyo nazo nimeacha,ila nashangaa huyu bibie kaninunia coz kila nikimsalimia anaitikia kama hataki afu anakua kama anabenua mdomo.
Wakuu,nifanyaje ili kuweka mambo sawa na jirani yangu?
angalia faida ya jambo kabla ya kutenda,,,,,,,,mwanamke kununa kawaida yao ,,,,,,,,angalia hasara ya kununa kwake itakucost nin kama hakuna k2 mpotezee kwa muda uone atachofannya kwa kua umefanya maamuz mazur kuacha pombe
,,,,,,,,,then unaweza mwambia muulize umemkosea nn msameheane yaishe ,,,,,,,,,,,,,,,unaweza 2mia njia moja kat ya hzo
 
angalia faida ya jambo kabla ya kutenda,,,,,,,,mwanamke kununa kawaida yao ,,,,,,,,angalia hasara ya kununa kwake itakucost nin kama hakuna k2 mpotezee kwa muda uone atachofannya kwa kua umefanya maamuz mazur kuacha pombe
,,,,,,,,,then unaweza mwambia muulize umemkosea nn msameheane yaishe ,,,,,,,,,,,,,,,unaweza 2mia njia moja kat ya hzo
poa kamanda.
 
Nipe namba yake nimshauri

anaweza akamchukia jumla kwa kumuanika hadharan kua ''alikua anatekenywa na anafurahia........ww utapomshaur huyo mwanamke akikuuliza mbna mhusika hajamwmbia kuhusu mabadliko yake utasema nin.......pia inawezekana huyo mwanamke akawa na mimba changa ikamfanya awe na hasira huwez jua ,,,,,,,,,,,,,,labd nadhan aache muda utajb what next '''''patience pays''''
 
Corrie Ten Boom lived through the hell of the holocaust and kept faith with GOD. What a Saviour Amen!
 
Hembu piga picha jinsi anavyobinua mdomo ili tuweze kuona anaashiria nin
 
Back
Top Bottom