angalia faida ya jambo kabla ya kutenda,,,,,,,,mwanamke kununa kawaida yao ,,,,,,,,angalia hasara ya kununa kwake itakucost nin kama hakuna k2 mpotezee kwa muda uone atachofannya kwa kua umefanya maamuz mazur kuacha pombeWakuu habari?
Kama mnavyokumbuka kuna siku nilileta uzi humu kuwa natangaza kuachana na pombe rasmi kutokana na kushndwa kuicontrol na kujikuta nikifanya ishu za ajabu.Asa enzi za ulevi wangu nilikua kila nikirudi nyumban kuna mpangaji mwenzangu hapa tena kahamia muda si mrefu na ni mwalimu wa secondary nilikua na kawaida nikimkuta kainama either anafua au anaosha vyombo namtekenya au namshika nyonyo alafu na yeye hata hakasiriki anakua anachekelea tu.so tangu nimeacha pombe na tabia za hovyo nazo nimeacha,ila nashangaa huyu bibie kaninunia coz kila nikimsalimia anaitikia kama hataki afu anakua kama anabenua mdomo.
Wakuu,nifanyaje ili kuweka mambo sawa na jirani yangu?
poa kamanda.angalia faida ya jambo kabla ya kutenda,,,,,,,,mwanamke kununa kawaida yao ,,,,,,,,angalia hasara ya kununa kwake itakucost nin kama hakuna k2 mpotezee kwa muda uone atachofannya kwa kua umefanya maamuz mazur kuacha pombe
,,,,,,,,,then unaweza mwambia muulize umemkosea nn msameheane yaishe ,,,,,,,,,,,,,,,unaweza 2mia njia moja kat ya hzo
Chukua ushauri huuMwambie sasa hvi zamu yake awe anakutekenya ww...
Nipe namba yake nimshauri
Toka nmb bank wakuajiri umekua mlevi.naanzaje kwa mfano?
anza ulipoishianaanzaje kwa mfano?
Hahaha dahHembu piga picha jinsi anavyobinua mdomo ili tuweze kuona anaashiria nin