Mpangaji mwenzangu ameninunia kisa siku hizi nimeacha kumtekenya

Wakuu habari?
Kama mnavyokumbuka kuna siku nilileta uzi humu kuwa natangaza kuachana na pombe rasmi kutokana na kushndwa kuicontrol na kujikuta nikifanya ishu za ajabu.Asa enzi za ulevi wangu nilikua kila nikirudi nyumban kuna mpangaji mwenzangu hapa tena kahamia muda si mrefu na ni mwalimu wa secondary nilikua na kawaida nikimkuta kainama either anafua au anaosha vyombo namtekenya au namshika nyonyo alafu na yeye hata hakasiriki anakua anachekelea tu.so tangu nimeacha pombe na tabia za hovyo nazo nimeacha,ila nashangaa huyu bibie kaninunia coz kila nikimsalimia anaitikia kama hataki afu anakua kama anabenua mdomo.
Wakuu,nifanyaje ili kuweka mambo sawa na jirani yangu?
Ulikosea unge mla tuu,,,,sasa anakuona fala
 
Wakuu habari?
Kama mnavyokumbuka kuna siku nilileta uzi humu kuwa natangaza kuachana na pombe rasmi kutokana na kushndwa kuicontrol na kujikuta nikifanya ishu za ajabu.Asa enzi za ulevi wangu nilikua kila nikirudi nyumban kuna mpangaji mwenzangu hapa tena kahamia muda si mrefu na ni mwalimu wa secondary nilikua na kawaida nikimkuta kainama either anafua au anaosha vyombo namtekenya au namshika nyonyo alafu na yeye hata hakasiriki anakua anachekelea tu.so tangu nimeacha pombe na tabia za hovyo nazo nimeacha,ila nashangaa huyu bibie kaninunia coz kila nikimsalimia anaitikia kama hataki afu anakua kama anabenua mdomo.
Wakuu,nifanyaje ili kuweka mambo sawa na jirani yangu?
We zuzu kweli kumbe huja
mgegeda
 
leta nambake nimwambie umeacha pombe kwa hiyo asitegemee mtekenyo tena. ukimwambia wewe hatakuelewa. nawajua vizuri sana hawa ndugu zetu. wanaitaji third party amuhakikishie ndo waelewe. the number please.
 
Endelea kumtekenya tu labda ndo starehe yake na isitoshe kumtekenya mtu sio lazima uwe umelewa
 
Mpotezee tu... tena kama vip leta mwanamke mwingine akae hapo geto cku mbili tatu...
Ndio ajue kuwa mazoea hutaki
 
Yeye alijua amepata mtu wa kutoa hela ya chakula gesi na kodi ya nyumba sasa umesanuka kwa nn asinune.Ukigonga tu ujue ndo umeoa
 
Back
Top Bottom