mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
comments zenu me hoi hahhaahhahah aisee
Umtekenye kwenye simu?Nipe no zake please
mkuu huoni kama akilala nae siku akaacha tena si ndio itakuwa tafraniLala nae ataacha kununa...
mkuu huoni kama akilala nae siku akaacha tena si ndio itakuwa tafrani
Ulikosea unge mla tuu,,,,sasa anakuona falaWakuu habari?
Kama mnavyokumbuka kuna siku nilileta uzi humu kuwa natangaza kuachana na pombe rasmi kutokana na kushndwa kuicontrol na kujikuta nikifanya ishu za ajabu.Asa enzi za ulevi wangu nilikua kila nikirudi nyumban kuna mpangaji mwenzangu hapa tena kahamia muda si mrefu na ni mwalimu wa secondary nilikua na kawaida nikimkuta kainama either anafua au anaosha vyombo namtekenya au namshika nyonyo alafu na yeye hata hakasiriki anakua anachekelea tu.so tangu nimeacha pombe na tabia za hovyo nazo nimeacha,ila nashangaa huyu bibie kaninunia coz kila nikimsalimia anaitikia kama hataki afu anakua kama anabenua mdomo.
Wakuu,nifanyaje ili kuweka mambo sawa na jirani yangu?
We zuzu kweli kumbe hujaWakuu habari?
Kama mnavyokumbuka kuna siku nilileta uzi humu kuwa natangaza kuachana na pombe rasmi kutokana na kushndwa kuicontrol na kujikuta nikifanya ishu za ajabu.Asa enzi za ulevi wangu nilikua kila nikirudi nyumban kuna mpangaji mwenzangu hapa tena kahamia muda si mrefu na ni mwalimu wa secondary nilikua na kawaida nikimkuta kainama either anafua au anaosha vyombo namtekenya au namshika nyonyo alafu na yeye hata hakasiriki anakua anachekelea tu.so tangu nimeacha pombe na tabia za hovyo nazo nimeacha,ila nashangaa huyu bibie kaninunia coz kila nikimsalimia anaitikia kama hataki afu anakua kama anabenua mdomo.
Wakuu,nifanyaje ili kuweka mambo sawa na jirani yangu?
ushauri wa kilevi huuMwambie sasa hvi zamu yake awe anakutekenya ww...
naanzaje kwa mfano?
Du mkuu imekuwaje tena, ushahisi ni baby wako anashikwa nyonyo?uko mkoa gani kubabeck maana wengine ma baby zetu waalim af wako mbali...unanistua ujue..