Tatizo ni kuwa Muislam au ni Mkorofi? Hebu jieleze vizuri. Naona unajichanganya.
kwetu Unguja mjini, ukitaka kumkodisha nyumba muumini wa kikiristo kwanza unatakiwa umjue ni muumini wa kanisa gani. maana akiwa mkatoliki ujue unatafauta ugomvi, mara atakwambia mara joto, mara usifungue redio sana, mara nataka maji yatoke kila wakati, mara aatkwambia waislam hamkusoma.
uzuri zaidi serekali ya zanzibar imeshikwa na waislam watupu ambao wanaambiwa hawakusoma. Hakuna mkiristo na manedelo yapo kuliko tanganyika yenye wasomi wa kikiristo rushwa inakua kwa kasi. Umaskini unakuwa, unyama unakua kwa kasi ya ajabukwe kwe kwe!! Nendeni shule jamani!madrassa na dunia ya kisasa tofauti!
kwetu Unguja mjini, ukitaka kumkodisha nyumba muumini wa kikiristo kwanza unatakiwa umjue ni muumini wa kanisa gani. maana akiwa mkatoliki ujue unatafauta ugomvi, mara atakwambia mara joto, mara usifungue redio sana, mara nataka maji yatoke kila wakati, mara aatkwambia waislam hamkusoma.
kwe kwe kwe!! Nendeni shule jamani!madrassa na dunia ya kisasa tofauti!
Mtauana na udini wenu. Mimi ni mkristo nina rafiki zangu wakubwa waislam. Siku ya ijumaa nawakumbusha waende msikitini na mimi j2 naenda kwa kanisa. Siku naenda kupata kitimoto naenda kivyangu bila kuwakwaza. Kinachowashinda watu walio wengi (Dini zote) ni fikra potofu kuwa mu bora kuliko wengine. Huwezi amini ni marafiki zangu mno. Dini haijawahi kutufikirisha huu upuuzi wa kibaguzi. Muhimu ni kuvumiliana, kuelewa tofauti zetu na kuheshimiana.
saf sana maana yey anatzama udin2hamia kwa mkiristo mwenzio mupige lager na kitimoto chenu bila ya kusumbuliwa na mumuwache muislam na maisha yake
naombeni nisaidieni jinsi ya kumfukuza huyu mtu'mpangaji mwenzangu'yeye anajiona ni mwislam mtakatifu na imepelekea agombane na watu wanaoishi naye'jana chupuchupu kuzichapa na mimi baada ya mwenye nyumba kumshutumu anatumia umeme vibaya'basi mimi nikamwendea na kumwambia kwa nia ya kubana matumizi ya umeme'alinijia juu kinoma akidai hanijui wala hanitambui na kuanzia sasa sitakaa nikuheshimu tena'nilishangaa sana kwa sababu ilikuwa ni issue ndogo lakini ilifika mbali huku akionyesha dalili za kutaka kupigana na mimi'siku za nyuma keshapigana na wwatu wawili tofauti kwa sababu ya mambo ya kijinga'yeye ni fundi machanical keshafukuzwa garage kwa sababu ya ujuaji na maneno mengi'jamani nisaidieni nimwondoeje hapa maana wote tumepanga na jamaa hajui kuishi na watu'nifanyeje ili ahame huyu mwislam???
kwetu unguja mjini, ukitaka kumkodisha nyumba muumini wa kikiristo kwanza unatakiwa umjue ni muumini wa kanisa gani. Maana akiwa mkatoliki ujue unatafauta ugomvi, mara atakwambia mara joto, mara usifungue redio sana, mara nataka maji yatoke kila wakati, mara aatkwambia waislam hamkusoma.
hahaha. Huku kwetu tunavyuo vikuu 5 vimefurika, na haturuhusu wasiokuwa waislam kusoma. Mara wataleta vurugu ili vyuo vifungwe tukose kusoma.
Na uzuri zaidi serekali yetu ni waislam watupu, mambo ni safi, technology inakuwa kwa kasi sana tofauti na kwenu mnawanyima fursa waislam nchi inazidi kuyumba
hama wewe mwenye chuki; kwa nn ubane matumizi ya umeme kama huna pesa si ungepanga nyumba isiyo na umeme; mliambiwa msije mjini...