Naomba kufahamishwa kuhusu mpambanaji Wilfred Muganyizi Lwakatare,Mkurugenzi Oganaizesheni ya Intelensia ya CDM, make nimekuwa simuoni katika harakati za hivi karibuni.
Kamanda alisimamia pilika zote kanda ya ziwa alikuwepo mwanza nilimuona na alitambulishwa watu Tukashangilia, hope atakuwa kno kwa ofs, anaendelea kuratibu nxt maandamano
Yupo makao makuu dar,anaratibu masuala ya usalama.kumbuka Dr.anatishia kuuawa,so ana kazi nyeti ya inteligensia.pia anapokea ripoti za utendaji nchi nzima.unajua cku hizi ana majukumu mengi ya chama,taifa
Naomba kufahamishwa kuhusu mpambanaji Wilfred Muganyizi Lwakatare,Mkurugenzi Oganaizesheni ya Intelensia ya CDM, make nimekuwa simuoni katika harakati za hivi karibuni.
I met him in MOSHI last year aliniambia ana kijana wake yuko shule moja ya kimataifa pale mjini moshi(jina la shule kapuni) coz wabongo amchelewi kuchunguza ada ya shule,anawezaje kulipa ada ya shule kama ile! anyway kwasasa nahisi anajenga chama baadaa ya kuchakachukuliwa kwa mara ya pili mfululizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.