Salaam wanaUkumbi,
Naomba mwenye kujua mpaka sahii kati ya Rwanda na Tanzania anifafanulie. Ramani nyingi zinaonyesha tofauti. Na je, kumewahi kuwako ubishi wa mpaka kati ya Tanzania na Rwanda? Nafahamu Tanzania na Uganda wamekubaliana na kuweka beacons mpya katika mpaka wao.
Natanguliza shukrani.
Naomba mwenye kujua mpaka sahii kati ya Rwanda na Tanzania anifafanulie. Ramani nyingi zinaonyesha tofauti. Na je, kumewahi kuwako ubishi wa mpaka kati ya Tanzania na Rwanda? Nafahamu Tanzania na Uganda wamekubaliana na kuweka beacons mpya katika mpaka wao.
Natanguliza shukrani.